kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Ndugu zangu naombeni msaada nina dada yangu ni mgonjwa.
Anasikia maumivu kwenye mguu na baada ya kupata maumivu anasikia ganzi kwenye mguu baada ya kupata ganzi hata ukimpiga kitu gani kwenye mguu hawezi kusikia maumivu. Sijui ilo litakuwa tatizo gani.
Kwa bahati mbaya yupo kwenye kambi ya wakimbizi kule hakuna hospital za maana. Hawapimagi ugonjwa mwingine zaidi ya malaria tu.
Kama kuna mtu yeyote ambaye anajua dawa ya ugonjwa huu anaweza kutusaidia au jinsi ya kutibu kwa kutupa maelekezo.
Anasikia maumivu kwenye mguu na baada ya kupata maumivu anasikia ganzi kwenye mguu baada ya kupata ganzi hata ukimpiga kitu gani kwenye mguu hawezi kusikia maumivu. Sijui ilo litakuwa tatizo gani.
Kwa bahati mbaya yupo kwenye kambi ya wakimbizi kule hakuna hospital za maana. Hawapimagi ugonjwa mwingine zaidi ya malaria tu.
Kama kuna mtu yeyote ambaye anajua dawa ya ugonjwa huu anaweza kutusaidia au jinsi ya kutibu kwa kutupa maelekezo.