Msaada: Connection ya kuhudumia wagonjwa wa CORONA kwenye QUARANTINE

Msaada: Connection ya kuhudumia wagonjwa wa CORONA kwenye QUARANTINE

proskaeur

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
1,582
Reaction score
4,942
Habari ya muda huu

Mimi ni muuguzi, level yangu ya elimu ni degree, kutokana na tatizo la Ajira nipo mtaani tangu nimalize intern ninafanya shughuli ndogo ndogo tu,

Hivyo basi waungwana ninaomba mwenye connection na wakubwa aniunganishe nipate hata nafasi ya kujitolea kuhudumia wagonjwa wa CORONA, kwani naamini inaweza ikawa njia ya kunikwamua huko mbeleni na pia kunipatia uzoefu katika kutoa huduma wakati wa magonjwa ya mlipuko.

Kwa anayeweza kunisaidia naomba atanitext nimpe details zangu zote,

Asante!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Mimi pia mtaalamu wa maabara ila sina Ajira..Nipo tayari kufanya kazi kizalendo.
 
Jamani poleni sana,najua maumivu ya kukaa nyumbani yanaumiza sana,Mungu awafanyie wepesi
Asante sana ndugu, tusaidiane kuzipata fursa

lakini nashangaa watu hawataki hata kutupa connection kama hizi za kujitolea, sijui mpaka mtu akija na thread inayoonesha amekata tamaa ya maisha anataka kujiua ndio watamsaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana ndugu, tusaidiane kuzipata fursa

lakini nashangaa watu hawataki hata kutupa connection kama hizi za kujitolea, sijui mpaka mtu akija na thread inayoonesha amekata tamaa ya maisha anataka kujiua ndio watamsaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mie nilipitia changamoto kama zako ila kwa taaluma nyingine tofauti na yako,Nilikuwa hata mia mfukoni sina halafu nikawa ni mtu aibu ila mwisho wa siku aibu nikaziweka pembeni nikawa naingia ofisi moja baada ya nyingine,basi mwisho wa siku nikabahatika kupata sehemu moja ivi,hapo kidogo nikaanza kuona mwanga.......Halafu pia jitahidi sana kujiunga na magroup mbalimbali sio yale ya urembo hapana jiunge yale ya kiutu uzima,Mungu akubariki sana
 
Na mie nilipitia changamoto kama zako ila kwa taaluma nyingine tofauti na yako,Nilikuwa hata mia mfukoni sina halafu nikawa ni mtu aibu ila mwisho wa siku aibu nikaziweka pembeni nikawa naingia ofisi moja baada ya nyingine,basi mwisho wa siku nikabahatika kupata sehemu moja ivi,hapo kidogo nikaanza kuona mwanga.......Halafu pia jitahidi sana kujiunga na magroup mbalimbali sio yale ya urembo hapana jiunge yale ya kiutu uzima,Mungu akubariki sana
Asante Sana Kaka kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mie nilipitia changamoto kama zako ila kwa taaluma nyingine tofauti na yako,Nilikuwa hata mia mfukoni sina halafu nikawa ni mtu aibu ila mwisho wa siku aibu nikaziweka pembeni nikawa naingia ofisi moja baada ya nyingine,basi mwisho wa siku nikabahatika kupata sehemu moja ivi,hapo kidogo nikaanza kuona mwanga.......Halafu pia jitahidi sana kujiunga na magroup mbalimbali sio yale ya urembo hapana jiunge yale ya kiutu uzima,Mungu akubariki sana
Uko positive sana...


Nashangaa huyo mchangiaji aliyepita anasema "watu hawataki kutupa connection"..

Ina maana watu wakigoma kukupa connection we maisha yako ndo basi???hayaendi mbele??

Kwa nini utafute Wa kumtupia mzigo Kwa shida zako mwenyewe?? Eti " watu hawataki so what????


Nimependa wewe ulivyochukua iniatives' mwenyewe...ukatoa Aibu ukazunguka maofisini...hukulaumu watu...sababu siku ya siku ni maisha yako..sio maisha ya watu....


Vijana Wa siku hizi wanakaa na keyboards ..wamerelax kitandani wanaomba kazi kwenye forums kama hizi

Toka nnje.nenda KFC,pizza hut,nenda maofisi..omba hata nafasi za kujitolea....wengi wanataka Ku relax home huku wanasikilizia kazi...na mtakaa sana home .


Acha lawama...jiangalie wewe na nini umefanya kukaa kulaumu watu hawakupi connection na hawatokupa na huna cha kuwafanya ila wewe ndo utadoda na umri utaenda...


Nyanyua kalio lako..toka nnje katafute kazi......huna Nauli tembea Kwa miguu..

Respect sana Kwa vijana naowaona asubuhi na mapema pale nyerere road kwenye viwanda na magodown ya Pepsi, banda LA ngozi,reli etc.

Much respect pia Kwa wale vijana Wa kule viwandan mikocheni maeneo ya ITV...utawakuta asubuhi na mapema.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko positive sana...


Nashangaa huyo mchangiaji aliyepita anasema "watu hawataki kutupa connection"..

Ina maana watu wakigoma kukupa connection we maisha yako ndo basi???hayaendi mbele??

Kwa nini utafute Wa kumtupia mzigo Kwa shida zako mwenyewe?? Eti " watu hawataki so what????


Nimependa wewe ulivyochukua iniatives' mwenyewe...ukatoa Aibu ukazunguka maofisini...hukulaumu watu...sababu siku ya siku ni maisha yako..sio maisha ya watu....


Vijana Wa siku hizi wanakaa na keyboards ..wamerelax kitandani wanaomba kazi kwenye forums kama hizi

Toka nnje.nenda KFC,pizza hut,nenda maofisi..omba hata nafasi za kujitolea....wengi wanataka Ku relax home huku wanasikilizia kazi...na mtakaa sana home .


Acha lawama...jiangalie wewe na nini umefanya kukaa kulaumu watu hawakupi connection na hawatokupa na huna cha kuwafanya ila wewe ndo utadoda na umri utaenda...


Nyanyua kalio lako..toka nnje katafute kazi......huna Nauli tembea Kwa miguu..

Respect sana Kwa vijana naowaona asubuhi na mapema pale nyerere road kwenye viwanda na magodown ya Pepsi, banda LA ngozi,reli etc.

Much respect pia Kwa wale vijana Wa kule viwandan mikocheni maeneo ya ITV...utawakuta asubuhi na mapema.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu usiwe mwepesi wa kufanya conclusion sababu ya comment moja tu, maana naona hapo Moja kwa moja unahisi nilivyojibu watu hawataki kutoa "connection" ndio unaJua nipo nimekaa tu,

kama umesoma vizuri juu nimesema Niko nafanya shughuli ndogo ndogo so kwa hili jambo lililotokea naona naweza nikatumia elimu yangu kuwa msaada kwa wengine na Mimi kupata ujuzi zaidi, ndio sababu ya kutafuta watu wanaoweza kunisaidia kulifanikisha hilo

So kaka usiwe mwepesi wa ku_judge kutokana na comment moja, BTW asante kwa kuchangia, ushauri wako nimeuchukua pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mie nilipitia changamoto kama zako ila kwa taaluma nyingine tofauti na yako,Nilikuwa hata mia mfukoni sina halafu nikawa ni mtu aibu ila mwisho wa siku aibu nikaziweka pembeni nikawa naingia ofisi moja baada ya nyingine,basi mwisho wa siku nikabahatika kupata sehemu moja ivi,hapo kidogo nikaanza kuona mwanga.......Halafu pia jitahidi sana kujiunga na magroup mbalimbali sio yale ya urembo hapana jiunge yale ya kiutu uzima,Mungu akubariki sana
Upo sahihi sana.....wengi wetu tuna vyeti ila uwoga na aibu ndo unaturudisha nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu usiwe mwepesi wa kufanya conclusion sababu ya comment moja tu, maana naona hapo Moja kwa moja unahisi nilivyojibu watu hawataki kutoa "connection" ndio unaJua nipo nimekaa tu,

kama umesoma vizuri juu nimesema Niko nafanya shughuli ndogo ndogo so kwa hili jambo lililotokea naona naweza nikatumia elimu yangu kuwa msaada kwa wengine na Mimi kupata ujuzi zaidi, ndio sababu ya kutafuta watu wanaoweza kunisaidia kulifanikisha hilo

So kaka usiwe mwepesi wa ku_judge kutokana na comment moja, BTW asante kwa kuchangia, ushauri wako nimeuchukua pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
We hujielewi....ndo mana hata kujieleza unashindwa unaishia kulaumu watu eti wasi-judge Kwa kupitia comment moja...

We si umeandika uko mtaani na hauna kazi ya kufanya .

We hata kazi ndogo ndogo hufanyi unatudanganya..most part umesema "uko mtaani na hauna kazi ya kufanya"


Huwezi kusema "Unafanya kazi ndogo ndogo hapo hapo unasema Niko mtaani sina kazi ya kufanya"......


Na Kwa taarifa yako waajiri wengi kama sisi huwa tunachunguza kila neno moja ,kila sentensi applicant anayoaiandika...na naona usipobadilika kwenye Tabia yako ya kulaumu watu " wanasoma comment moja wana-judge","watu hawatoi connection" basi una safari ngumu Sana mbele ya kupata ajira...


Screenshot_20200323-114314.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hujataka kwenda hata vijijini huko kuna Hospitali na Vituo vinatafuta Nurses wenye shahada ujue........
 
We hujielewi....ndo mana hata kujieleza unashindwa unaishia kulaumu watu eti wasi-judge Kwa kupitia comment moja...

We si umeandika uko mtaani na hauna kazi ya kufanya .

We hata kazi ndogo ndogo hufanyi unatudanganya..most part umesema "uko mtaani na hauna kazi ya kufanya"


Huwezi kusema "Unafanya kazi ndogo ndogo hapo hapo unasema Niko mtaani sina kazi ya kufanya"......


Na Kwa taarifa yako waajiri wengi kama sisi huwa tunachunguza kila neno moja ,kila sentensi applicant anayoaiandika...na naona usipobadilika kwenye Tabia yako ya kulaumu watu " wanasoma comment moja wana-judge","watu hawatoi connection" basi una safari ngumu Sana mbele ya kupata ajira...


View attachment 1396743

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwani kukosa ajira ni dhambi?
Mbona unamponda wakati hata huku ni sehemu pia ya kutafuta ajira.
Kwahiyo kama hana mtu wa kuunganishia afanyaje sasa. ?

Keep it up Bro. Mungu atakusaidia utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani kukosa ajira ni dhambi?
Mbona unamponda wakati hata huku ni sehemu pia ya kutafuta ajira.
Kwahiyo kama hana mtu wa kuunganishia afanyaje sasa. ?

Keep it up Bro. Mungu atakusaidia utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah, asante kwa kunisaidia ndugu yangu,, naona ameamua kuni_attack pasipo na sababu za msingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We hujielewi....ndo mana hata kujieleza unashindwa unaishia kulaumu watu eti wasi-judge Kwa kupitia comment moja...

We si umeandika uko mtaani na hauna kazi ya kufanya .

We hata kazi ndogo ndogo hufanyi unatudanganya..most part umesema "uko mtaani na hauna kazi ya kufanya"


Huwezi kusema "Unafanya kazi ndogo ndogo hapo hapo unasema Niko mtaani sina kazi ya kufanya"......


Na Kwa taarifa yako waajiri wengi kama sisi huwa tunachunguza kila neno moja ,kila sentensi applicant anayoaiandika...na naona usipobadilika kwenye Tabia yako ya kulaumu watu " wanasoma comment moja wana-judge","watu hawatoi connection" basi una safari ngumu Sana mbele ya kupata ajira...


View attachment 1396743

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kaka nashukuru Sana, sijielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We hujielewi....ndo mana hata kujieleza unashindwa unaishia kulaumu watu eti wasi-judge Kwa kupitia comment moja...

We si umeandika uko mtaani na hauna kazi ya kufanya .

We hata kazi ndogo ndogo hufanyi unatudanganya..most part umesema "uko mtaani na hauna kazi ya kufanya"


Huwezi kusema "Unafanya kazi ndogo ndogo hapo hapo unasema Niko mtaani sina kazi ya kufanya"......


Na Kwa taarifa yako waajiri wengi kama sisi huwa tunachunguza kila neno moja ,kila sentensi applicant anayoaiandika...na naona usipobadilika kwenye Tabia yako ya kulaumu watu " wanasoma comment moja wana-judge","watu hawatoi connection" basi una safari ngumu Sana mbele ya kupata ajira...


View attachment 1396743

Sent using Jamii Forums mobile app
waajiri kama nyinyi lol..... umetek too personal mkuu ni kama kumshindilia hivi japo nae kakosea flani
 
waajiri kama nyinyi lol..... umetek too personal mkuu ni kama kumshindilia hivi japo nae kakosea flani
Kiukweli Mimi sijaelewa hasa nini sababu ya kuniattack vile, sababu Mimi nimesema nafanya shughuli ndogo ndogo ambazo kwa hali ya kawaida si za professional yangu.

Ndio maana nimeona hili suala la CORONA linaweza kunifanya nika_practics knowledge niliyo nayo kama akitokea mtu akaniunganisha na maeneo wanakowekwa watu hao maana wizara ndiyo ina_ recruit watu hao

that's why nikaja jukwaani huku nikijua kuna watu tofauti na wenye nyadhifa tofauti katika hii nchi ambao naamini wanaweza kunisaidia

Kama kuna sehemu nimekosea naomba nisamehewe na nielekezwe pia ili nisije kukosea wakati mwingine, Asante!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom