Wakuu Habari?
Wanajukwaa,simu yangu imepatwa na hilo tatzo(heading).
Kwa kawaida simu yangu nime i set after on month i update Nokia Software.
Sasa jana ikanijurisha kuna new SW,nika i update,baada ya kumaliza hilo zoez nilpo fungua tu,ikaniandikia hiv "Conflicting application" zaid ya hapo inaandika Nokia Xpress.
Nimejaribu ku restore imegoma kurudi katika hali yake ya awali.
Naombeni msaada wenu wataalam.
"ahsante kwa mchango wako"
mkuu thanks
Nimefanikisha zoez,ishu inakuja hapa
hapo kwenye internet hapa funguki
Mkuu mickey.T
Usichoke pls
Zoez la kufungua hapo ulipo nielekeza,hapafunguk hapo(nokia).uki bofya pana ganda karibu sek 120:*:ukikata ukafungua tena inanambia' "Cannot launch browser,annother java application running"
finish ni mwendo huohuo tu.
Usichoke mkuu
Mkuu
hapo ovi store inafunguka bila wasi,Tatzo ishu inakujamo kwenye Icon ya internte kama ilivyokuja na simu ndo haifnguki,na tatzo lipo pale pale,Ijapokuwa sasa na tumia operamin browser,
kutokufunguka kwa hiyo icon imesababisha some apps zisifunction .mfano map,na ynyw saaiv hai function.
1:hapo internet hapafunguki."conflicting application show items?"
ukibofya yes Inaandika Nokia Xpress,basi haiendelei mbele.
2.Pale nokia (penye chain)ukifungua "cannot launch browser annother application running"
3.nikifungua nokia store inapiga mzigo kama kawa.
Umenielewa sasa mkuu?
Wakuu Habari?
Wanajukwaa,simu yangu imepatwa na hilo tatzo(heading).
Kwa kawaida simu yangu nime i set after on month i update Nokia Software.
Sasa jana ikanijurisha kuna new SW,nika i update,baada ya kumaliza hilo zoez nilpo fungua tu,ikaniandikia hiv "Conflicting application" zaid ya hapo inaandika Nokia Xpress.
Nimejaribu ku restore imegoma kurudi katika hali yake ya awali.
Naombeni msaada wenu wataalam.
"ahsante kwa mchango wako"
Mkuu mickey.T
Ahsante sana now iko poa,nimefuata ushauri wako wa ku download Nokia Xpress through Opera.
Nimeingia huko nikakuta wenzangu wengi waliowahi kupatwa na tatzo hilo,Nikafuata link walizo elekezwa na Nokia,Kisha nikadownload now ipo vizuri.Thanks alot.
Kweli jukwaa hili halina wachoyo.