Msaada computer yangu imenyeshewa na mvua, Nifanyeje ?

Msaada computer yangu imenyeshewa na mvua, Nifanyeje ?

Aunt Lisa

Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
72
Reaction score
26
Habari Wadau,

Jana Usiku Mvua Kubwaa Ilinyesha Sasa Mimi Nipo Chuo Nikaacha Laptop Ya Dell Vostro 1540 Nyumbani Karibu Na Dirisha!

Dirisha Lilikua Wazi Mvua Ilinyesha Masaa Mawili Consecutively Kurudi Nilikuta Imelowa Maji Yanatoka Kupitia Ports Za Usb Na Fans.

Nakumbuka Wakati Nimeiacha Ilikua Imehibernate Na Nilikua Sijaifungua Kwaiyo Maji Hayakugusa Kwenye Keyboard Ila Yaliingia Kwenye Screen.

Kurudi Ilikua Imeshajizima Nilichofanya Ni Kutoa Battery !

Paka Sasa Sijaiwasha..

Kwakweli Wakuu Nimepanick Mnoo Nipo Njiaa Panda Nilijaribu Kugoogle Na Kwenda YOUTUBE Kuangalia Cha Kufanya Niliambuliwa Kuambiwa Niiweke Upside Down Ili Maji Yatoke Kwa Gravity!

Ambayo Niliweka Usiku Mzimaa.. Naomba Mnisaidie Cha Kufanya Nini Laptop Yangu Naipenda Mnooo Kuliko Kitu Chochote!

Najua Huku Experts Mpoo Wengii.

Natanguliza Shukurani Za Dhati!

Ahsanteni!
 
Iache tu kama siku 2 hivi mpaka uhakikishe maji yameisha. unaweza pia kuifungua uhakikishe kama yametoka yote then uifute fute ujaribu kuiwasha.
 
Kama ilikuwa imezima usiwe na wasiwasi vyifaa vya electronic vya enzi hizi havina shida tafutafundi aifungue aisafishe blower then assembe na kuwasha itapiga mzigo bila shida yoyte ila .

Note: Kama upo ukanda wa pwani ni vizuri hio activity uifanya within two day to avoid rust.
 
Ahsanteni Wadau Chief Mkwawa Na Mfuatiliaji Ngoja Nitafute Fundi Anifungulie. Mungu Awabariki.

Naamini Utapona!
 
Ahsanteni Wadau Chief Mkwawa Na Mfuatiliaji Ngoja Nitafute Fundi Anifungulie.. Mungu Awabariki.. Naamini Utapona!

Vitu vingi vya computer vipo separate hata incase kimekufa kimoja unaweza kukibadili tu sio rahisi computer yote ife kwa wakati mmoja
 
Just disassemble it and let it dry for at least a week.

Pia angalia hii video jamaa aliacha laptop yake nje ikanyeshewa siku nzima and he fixed it, you can learn a thing or two for your case too ------>




My advice is DO NOT RUSH IT.
 
Last edited by a moderator:
Ahsanteni Wadau..
Ub 16 Ahsante Kwa Clip Ntampa Fundi Aiangalie..

Mpinga Shetani Ntalifanyia Kazi Mdau!
 
ub16
Huyo "guy" hakuwa wewe kweli ?
 
Last edited by a moderator:
pole sana mkuu hapo uwezekano wa kupona ni mdogo sana chips nyingi kwenye motherboard zitakuwa zimeungua maana huo mkasa umewahi nikuta, tena pc nilikuwa nimezima sasa sijui wewe uliyekuwa ume hibernate. Hapo chamsingi nikuuza spare parts kama hard disc ram na display.
 
kama uli hibernate na ukaikuta imezima totally hapo lazima motherboard imepiga shoti. Peleka kwa fundi ajaribu kuisafisha kwa foam na kuipasha moto hiyo motherboard, otherwise hapo it is likely that u need a new 'motherboard',,
 
Iweke kwenye kiroba cha mchele masaa 24 au 48. Mchele ni mzuri sana kwa kunyonyanyonya maji au unyevunyevu.

Kwa future reference, hata simu ikiingia maji fanya hii mbinu, weka kwenye mchele siyo wali.
 
Back
Top Bottom