[quote uid=40281 name="Ziroseventytwo" post=17406083]Natumia galax s3. Nilicopy kitu namaambiwa "copied in clipboard. Kila nikitafuta nilichokicopy sikioni kwenye cm. Hii clipboard iko wapi kwenye cm yangu?<br /><br />ushamba kweli mzigo[/QUOTE]<br />[emoji23] [emoji23] [emoji23] clipbrd hiyo ni sehem ambapo data huifaziwa kwa muda pale mtumiaji wa device anapotaka kuikopi kutoka sehemu moja kwenda nyingine.<br /><br />Na wala si kitu cha ajabu kama uhisivyo.<br /><br /><br />Wewe nenda sehem yeyote paste kitu chako kitatokea.<br /><br />Tukisema kuwa ni KWA MUDA maan yake ikitokea ukakop kingine cha mwanzo kinatolewa au kuzima simu kinapotea