mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
- Thread starter
- #21
Pa1 mkuuAcha uoga, ukiona nafasi imetangazwa wewe peleka naombi. Kuna mwajiri gani asiyeelewa?
Advance diploma ni sawa na shahada ya kwanza.
Utajipotezea nafasi kwa kuwa na hofu isiyokuwapo.