Msaada: Blacklist app nzuri kwa Android

Johnny Impact

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
5,641
Reaction score
9,279
Habari! Nimekwama ndugu. Nahitaji blacklist app nzuri kwa simu ya Android.
Sifa
  • Mtu akipiga simu, aambiwe namba haipatikani au namba inajikata yenyewe (Call ended)
  • Meseji isiweze kunifikia, isilete ujumbe wa derivery report kwake
Shukrani.
 
Hzo ni codes mkuu. Ukipigiwa anayepiga anaambiwa hana Salio la kutosha na akirudia anaambiwa amekosea namba.
Nimejaribu kwenye SMS ni kweli sms haziji, ila nime toa lakini bado haziji[emoji47][emoji47]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…