Kwetu Ngoreme
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 489
- 189
Natumia simu ya Blackberry kwenye maswala ya internet, Huduma za Blackberry internet zipo juu sana ukilinganisha na huduma za kawaida za simu nyingine. Naomba msaada wenu kama kuna namna ya kutumia huduma za kawaida kama kwenye simu nyingine. nimesikia kuna watu wanaweza kufanya hizo configuration.