miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
Habari zenu wapendwa?
Mimi nipo Dodoma ni mdada nina mtaji wa shilingi milioni moja, tayari nmeshanunua contena lenye ukubwa unaokaribia Kama chumba kimoja Ila changamoto niliyonayo nawaza nifungue biashara gani nzuri ambayo itanilipa naogopa kupoteza mtaji nilionao maana kupata mwingine ni kazi sana.
Hivyo naomba mnisaidie kunipa idea ni kitu gani nianzishe kwenye ilo contena kwa huu mtaji wa milioni moja pia kwa anayeishi Dodoma au anayepafahamu pia ni vizuri Kama mtanisaidia na location nzuri ya kuliweka ili contena ambayo Ina population na mzunguko mzuri wa fedha.
Asanteni sana na Mungu awabariki sana kwa ushauri mtakaonipatia maana nimeumiza sana kichwa kufikiria nimeona niwashirikishe pengine mnaweza kunipa idea nzuri.
Mimi nipo Dodoma ni mdada nina mtaji wa shilingi milioni moja, tayari nmeshanunua contena lenye ukubwa unaokaribia Kama chumba kimoja Ila changamoto niliyonayo nawaza nifungue biashara gani nzuri ambayo itanilipa naogopa kupoteza mtaji nilionao maana kupata mwingine ni kazi sana.
Hivyo naomba mnisaidie kunipa idea ni kitu gani nianzishe kwenye ilo contena kwa huu mtaji wa milioni moja pia kwa anayeishi Dodoma au anayepafahamu pia ni vizuri Kama mtanisaidia na location nzuri ya kuliweka ili contena ambayo Ina population na mzunguko mzuri wa fedha.
Asanteni sana na Mungu awabariki sana kwa ushauri mtakaonipatia maana nimeumiza sana kichwa kufikiria nimeona niwashirikishe pengine mnaweza kunipa idea nzuri.