Msaada: Bei za Mbegu za mahindi Mwanza

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,525
Reaction score
14,200
Wakubwa salam.

Nipo Mwanza mjini hapa. Naomba kuelekezwa maeneo yanakopatikana maduka ya jumla ya pembejeo za kilimo.

Na pia naomba kujua bei mbegu za mahindi Kwa mfuko wa kilo mbili. Aina ya Mbegu ni DK 31 na 33

Ahsanteni.
 
Wakubwa salam.

Nipo Mwanza mjini hapa. Naomba kuelekezwa maeneo yanakopatikana maduka ya jumla ya pembejeo za kilimo.

Na pia naomba kujua bei mbegu za mahindi Kwa mfuko wa kilo mbili. Aina ya Mbegu ni DK 31 na 33

Ahsanteni.
2 kg ni Tsh. 16000
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…