Naomba kujulishwa bei ya viti vya wagonjwa. Kiti kimoja kinauzwa kwa pesa ngapi za Tanzania kwa anayejuwa naomba anijulishe. Naomba msiuhamishe huu uzi kwani nahitaji msaada wa haraka kwa anayejua bei zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.