Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
kwa sasa utapata nokia 6 ina run androidAnaejua bei ya hii simu naomba aniambie dukani ni bei gani mpya???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka nimchukulie mdogo wangu wa kidato cha 2
Hebu tazama vizuri hilo jina hapo, mi naona ni Nokia Lumia 635, bei haizidi 250kKaka hiyo ni around laki tano na nusu na si nokia lumia ni microsoft 640 xl hiyo ila kwa ushauri tu achana na window phone
Zipo, sema hujatafutani ngumu kuzipata mpya kwa sasa sababu zimeachwa kutengenezwa siku nyingi.
Hebu Weka Full Details Zakekwa sasa utapata nokia 6 ina run android
mkuu Nokia lumia 2013/14 zimeachwa kutengenezwa zikaja microsoft lumia, hata kama ni kweli utaipata mpya itakuwa imekula vumbi la kutosha.Zipo, sema hujatafuta
Mkuu window ina mapungufu gani ya haraka???ukiringanisha na android???Kaka hiyo ni around laki tano na nusu na si nokia lumia ni microsoft 640 xl hiyo ila kwa ushauri tu achana na window phone
Mkuu mimi nimemaanisha upatikanaji wake zikiwa mpyamkuu Nokia lumia 2013/14 zimeachwa kutengenezwa zikaja microsoft lumia, hata kama ni kweli utaipata mpya itakuwa imekula vumbi la kutosha.
kikubwa kabisa ni kwamba microsoft wenyewe hawasuport hizi simu, hivyo hakuna maana ya kununua.Mkuu window ina mapungufu gani ya haraka???ukiringanisha na android???