Wadau naomba msaada wa uchaguzi wa bati hizi za 'SAUZI'. Nimeambiwa na baadhi ya wadau kuwa IT 5 zinavuja sana, hivyo nikageukia kwenye Lugoba, Mangalore na Maysore. Mwenye uzoefu tafadhali msaada.
Wadau naomba msaada wa uchaguzi wa bati hizi za 'SAUZI'. Nimeambiwa na baadhi ya wadau kuwa IT 5 zinavuja sana, hivyo nikageukia kwenye Lugoba, Mangalore na Maysore. Mwenye uzoefu tafadhali msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.