Msaada: Bati ip nzuri, LUGOBA TILE, MANGALORE TILE au MAYSORE TILE?

Msaada: Bati ip nzuri, LUGOBA TILE, MANGALORE TILE au MAYSORE TILE?

kisinzi

Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
18
Reaction score
6
Wadau naomba msaada wa uchaguzi wa bati hizi za 'SAUZI'. Nimeambiwa na baadhi ya wadau kuwa IT 5 zinavuja sana, hivyo nikageukia kwenye Lugoba, Mangalore na Maysore. Mwenye uzoefu tafadhali msaada.
 
Bati lolote likiwa na tundu/limetoboka lazima livuje, haijalishi ni jipya au la zamani. We nunua bati lakini hakikisha huuziwi lililotoboka.
 
Mkuu, unataka bati kwa maana ya iron sheets au roof covering yoyote?! Maana Mangalore tile au maysore tile sio bati


Wadau naomba msaada wa uchaguzi wa bati hizi za 'SAUZI'. Nimeambiwa na baadhi ya wadau kuwa IT 5 zinavuja sana, hivyo nikageukia kwenye Lugoba, Mangalore na Maysore. Mwenye uzoefu tafadhali msaada.
 
Back
Top Bottom