Panda Saibaba ya nairobi au dar express ya nairobi au karatu na kama unaweza vumilia mwendo rafu panda modern ya nairobi saa 8 goma linakatiza sakina
Kuna jamaa alishawahi panda kwenda chugga akaambiwa alipe nauli ya nairobi kwamba hakuna nauli ya njiani
Huo ni uongo.
Kamata Kilimanjaro au dar express zinazoenda Nairobi utawahi
Bufalo na ngorika ndizo gari za fasta dar express myeyusho hadi bajaji inaweza ikawapita
Lini unaondoka ?? Nikupe lift Nina private car ila naishia kibaha maili moja dar sifiki