Msaada barclays bank

Msaada barclays bank

bbenedict

Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
91
Reaction score
7
Habari zenu wanandugu wa JF,msaada tafathali.nimedroo pesa zangu zote kwenye hii benki kutokana na kuchoshwa na huduma zao mbovu,imebaki balance ya kulinda akaunti na balance ya kufungulia akaunti,je,nikifunga akaunti watanirudishia hizo balance na process za kufunga akaunti ni zipi?nisaidieni na majibu ili nikienda niwe nimekamilika.asanteni
 
Account ikifungwa lazima iwe na zero balance, so lazima wa zerorise for account closure.
What u need is u to go to ur domicile branch na kujaza acc. Closure form.
Ila jiandae coz lazima upigwe sound usifunge account
 
...nenda tu na barua yako ya kufunga akaunt, thats all, utatoa senti zilizobaki na unasepa...
 
Account ikifungwa lazima iwe na zero balance, so lazima wa zerorise for account closure.
What u need is u to go to ur domicile branch na kujaza acc. Closure form.
Ila jiandae coz lazima upigwe sound usifunge account

Asanteni sana kwa majibu,JF iko juu,
 
Benki nyingi ni wezi wanapiga buku 3 mpaka 15 monthly kwa wateja wake.
 
Back
Top Bottom