Hivi cheusimangala kweli wewe nicheusi na avator yako mhnn!! ok kuhusu Bahati nasibu nao wzi wanachukua ten% hata ukienda kuulizia taratibu zakuendesha bahati nasibu za makampuni haya yanayokwapua pesa yetu eti jikoki,mkoko,mzuka wizi mtupu wao walishakula chao mapema mapesa!!! nawanashukuru hawabughudhiwi kwakuwa kataasisi kenyewe kadogo na sijui Tarimba bado yupo huko maana kanaendeshwa na wazee wa mjni!!!:mad2: