Msaada: Bachelor of information technology 'IT'

Kwamfano ukajiajili unakuwa unajishugulisha na nn zaidi
Naomba nieleweshe apo
Mkuu ndio maana unaambiwa unatakiwa kupekecha kichwa vizuri, kwa mfano kwenye IT kuna computer graphics, hapo jiulize kama una ujuzi huo kwa nini usitengeneze katuni za kiswahili na ukaanza kuziuza kwa ajili ya watoto kibongo na nakuhakikishia wateja hutokosa, unaweza kuona kama wazo la kijinga lakini huo ndo uhalisia, tatizo ni kwamba tunaposoma tunakuwa tunafikilia mambo makubwa na malengo yasiyo na uhalisia.
 
Ahsante sana mkuu, vp wanafundisha vzr
wanafundisha vizuri, ila hili swala la kufundishwa vizuri kiukweli na juhudi zako ndicho kinachohitajika sana kuliko hata lecturer, soma sana vitabu na unapaswa uwe flexible sana mambo ya teknolojia huwa yanabadilika kwa hiyo unajikuta unatakiwa uwe tayari kujifunza kitu kipya kila mara kama unataka kuwa competence.
 
Ahsante sana mkuu
 
Competent
 
I thank a lot mh. Nimekupata mkuu
 
ure right mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…