Samuel jolaur
New Member
- Sep 24, 2016
- 1
- 0
Naomba ushauri ndugu zangu,
Kwa Mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwenye "C" mbili za Phyisics na Hesabu na "D" tatu za Chemistry, Geography na English, ni kozi zipi zinamfaa kati ya kozi za sector ya madini, mafuta& gesi na sector ya utalii kulingana na soko la ajira?
Kwa Mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwenye "C" mbili za Phyisics na Hesabu na "D" tatu za Chemistry, Geography na English, ni kozi zipi zinamfaa kati ya kozi za sector ya madini, mafuta& gesi na sector ya utalii kulingana na soko la ajira?