Msaada: Asili yangu inanishangaza

MMuongo Sana wew kijnaa duh hyo haipogo eti unajifungua ndani kijna a acha upuuzi ustuone watoto wenzio unasema huna marafiki hao unaowapigia unawatoa wapi

sa
 
Kifupi watu wasizunguke unashida ya akili. Wahi hospital
Pia nikushukuru kwakumaliza Uzi salama kujinasibisha na mambo ya TISS na upelelezi
 
Asili yako na kujitenga wapi na wapi?
 
ID yako ni greatthinker. Umeeleza tabia za introvert. Introvert ni mtu mwenye uwezo mkubwa kiakili na maana hiyo hapendi kampani bali anapenda kuwa peke yake na si mwongeaji.

Huo siyo ulemavu ni kawaida
 
Hakuna tatizo lolote hapo , wewe ni INTROVERT cha msingi jitahidi ujue BIG FIVE PERSONALITY yako utanishukuru.

Kwani unafanya kazi gani?
 
We bado sana subili ukue kwanza
 
amna ni kawaida kuna watu tupo hivo... me pia nna rafiki mmoja tu ambaye alkuwa room mate wangu chuo, nnapendelea zaidi kuwa peke yangu kuliko kuchangamana na watu, napenda pia kusoma biblia,novels,makala mbalimbali nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…