Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Wakuu naombeni msaada kuna ndugu yangu amechaguliwa Mkwawa bachelor of science in Education ila mkopo hakupata!
Nilivyoangalia sababu ni kuwa form yake haikuwa submitted huko loarnboard!
Kumbe huyo dogo alivyopangwa jeshi alimwachia mzee wake ampelekee ile form posta ila nilivyomuuliza mzee wake leo akaniambia yeye aliipeleka internet(hapa sijamuelewa kwa kweli) kisha akarudi nayo nyumbani so form mpaka sasa hivi anayo na imesainiwa na kila kitu kinachohitajika tayari kipo ila ndo hivo haikwenda loarnbord!
Naombeni msaada kwa anayejua huyu dogo akienda loarnboard na hii form na cheti cha JKT aeleze uhalisia kwamba mzee hakujua inakuwaje na dogo alitakiwa kwenda JKT ataeleweka? Ukizingatia kozi yake ni PRIORITY?
Nilivyoangalia sababu ni kuwa form yake haikuwa submitted huko loarnboard!
Kumbe huyo dogo alivyopangwa jeshi alimwachia mzee wake ampelekee ile form posta ila nilivyomuuliza mzee wake leo akaniambia yeye aliipeleka internet(hapa sijamuelewa kwa kweli) kisha akarudi nayo nyumbani so form mpaka sasa hivi anayo na imesainiwa na kila kitu kinachohitajika tayari kipo ila ndo hivo haikwenda loarnbord!
Naombeni msaada kwa anayejua huyu dogo akienda loarnboard na hii form na cheti cha JKT aeleze uhalisia kwamba mzee hakujua inakuwaje na dogo alitakiwa kwenda JKT ataeleweka? Ukizingatia kozi yake ni PRIORITY?