Nimejaribu kufanya application kwa ngazi ya Diploma ila wanataka niapload cheti cha form four na ninayemfanyia hana maana kamaliza mwaka 2016. Nahitaji msaada kwa aliyefanikiwa kufanya application hicho kipengele cha kuapload cheti cha form four kwa waliomaliza mwaka 2016 amefanyaje.
Asante kwa ushirikiana...
Asante kwa ushirikiana...