msaada Apa:benk nzuri

msaada Apa:benk nzuri

John Gelas

Senior Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
168
Reaction score
7
Habarin waungwana!hivi n benk gan nzur yenye faida ukiweka ela kwa mfanya biashara mdogo wa duka na kuuza machungwa ambayo inakua inakupa riba kutokana na kias chako cha fedha kilichopo kwenye account yAko!!plz msaada waungwana!!
 
Nmb fungua a/c ya bonus

Nakubaliana nawe.
Faida ya Nmb Bonus a/c haina makato ya kila mwezi, pia unapata riba ya hadi 5% kulingana na kiasi ulichoweka.
Tatizo la hii a/c ni kuwa unatakiwa usitoe pesa zaidi ya mara 2 kwa mwaka, ukikaidi huwezi kupata riba.
 
Hapana ndan ya miez mitatu huruhusiwi kutoa zaidi ya Mara 2 na ukitoa zaid ya Mara 2 unapoteza bonus ila faida yakawaida unapata ambapo ni 3%
 
Back
Top Bottom