John Gelas
Senior Member
- Apr 25, 2012
- 168
- 7
Habarin waungwana!hivi n benk gan nzur yenye faida ukiweka ela kwa mfanya biashara mdogo wa duka na kuuza machungwa ambayo inakua inakupa riba kutokana na kias chako cha fedha kilichopo kwenye account yAko!!plz msaada waungwana!!