Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Wakuu siku hizi bidhaa nyingi zinakua na sehemu yakuscan (naweka picha muone) sasa najiuliza hii kaI yake nini?
Mfano hapa nimenunua sub woofer nimekuta kwenye box hiyo,pia naviona sana mf.kwenye box la mashine ya kunyolea nimekiona pia.Nakuja kwenu kwa anaejua hebu anipe shule kidogo nielewe,nisije achwa na tech.
Mfano hapa nimenunua sub woofer nimekuta kwenye box hiyo,pia naviona sana mf.kwenye box la mashine ya kunyolea nimekiona pia.Nakuja kwenu kwa anaejua hebu anipe shule kidogo nielewe,nisije achwa na tech.