Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,735
- 7,010
Wkt najenga Kuna jirani yangu alinizibia njia kwa kulima,
Mungu saidia kuna kiwanja kilikuwa na upenyo uliokuwa umefichwa na vichaka ,
nikaibua njia ujenzi ukaendelea,
baadae nikambembeleza mwenye hicho kiwanja akakubali kuniuzia kwa bei mkasi,
sasa nimeunganika brbrn kuliko jiran roho mbaya,
nishahamia,
jiran roho mbaya bado hajakamilisha na bado amepanga,
nishachimba kisima,
na kuvuta umeme tyr,
hayo yote jirn roho mbaya hana,
na akihamia ....
Pia kwa ss anatakiwa apite kwangu ndo njia ya karb kw miguu,
pia kuna jiran ambaye ndoo walikuwa wakishirikiana naye keshazibwa huwa anapita uwanjan kwangu na anategemea apite kwangu,
Suala hilo litafakari kwa umakini sana, ingawa majiran wengi ni washari sana.
Mungu saidia kuna kiwanja kilikuwa na upenyo uliokuwa umefichwa na vichaka ,
nikaibua njia ujenzi ukaendelea,
baadae nikambembeleza mwenye hicho kiwanja akakubali kuniuzia kwa bei mkasi,
sasa nimeunganika brbrn kuliko jiran roho mbaya,
nishahamia,
jiran roho mbaya bado hajakamilisha na bado amepanga,
nishachimba kisima,
na kuvuta umeme tyr,
hayo yote jirn roho mbaya hana,
na akihamia ....
Pia kwa ss anatakiwa apite kwangu ndo njia ya karb kw miguu,
pia kuna jiran ambaye ndoo walikuwa wakishirikiana naye keshazibwa huwa anapita uwanjan kwangu na anategemea apite kwangu,
Suala hilo litafakari kwa umakini sana, ingawa majiran wengi ni washari sana.