Umri wangu 30 ni mwanamke napendwa na huyu kaka lakini kunioa hataki ,tatizo ni mm sina uzazi .
Anataka kuoa mwanamke mwingine lakini kiniacha hataki na kuwa mchepuko sitaki .
Naomba ushauri wenu wauungwana
Asante mwaya!Pole....

Njoo pm bbyAnaeweza tuoane