Msaada: Anafutwa Fundi mzuri wa digital camera

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,117
Reaction score
8,096
Nipo Mwanza kwa sasa, naomba kwa yeyote mwenye kumjua fundi mzuri wa digital camera au hata simu hapa mjini anielekeze ofisini kwake kwani nina digital camera yangu imepata hitilafu sasa naogopa kupeleka kwa mafundi uchuro wasije wakaiua mazima.
 
Inamaana jiji kubwa namna hii la Mwanza hakuna fundi wa hiki kifaa???
Wana mwanza mnaniangusha.
 
 
Digital camera ni sawa na blender hakuna kutengeneza ikizingua unatupa
 
inategemeana imeharibika nini acha ushauri mbovu watu wanasuka coil za grenda na drill mashine itakua brenda.@delusion
 
Nipo Mwanza kwa sasa, naomba kwa yeyote mwenye kumjua fundi mzuri wa digital camera au hata simu hapa mjini anielekeze ofisini kwake kwani nina digital camera yangu imepata hitilafu sasa naogopa kupeleka kwa mafundi uchuro wasije wakaiua mazima.
ulifanikiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…