Inamaana jiji kubwa namna hii la Mwanza hakuna fundi wa hiki kifaa???
Wana mwanza mnaniangusha.[/QUOTE
kama ni tatizo la lens error unaweza kusolve mwenyewe ,afu kuna kitu unakosea labda huhitaji kutengeneza hiyo camera
ungetoa tatizo lake nini ungepata msaada