kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,023
- 3,458
Wakuu Habari
Ni mwezi sasa nikiwa kwenye mahusiano na binti wa miaka 24 tulikutana Arusha kwenye inshu ya kikazi. Tulitokea kuzoeana kiasi kwamba ilifikia hatua akanitambulisha kwa rafiki zake kama mtu anayejali upendo na thamani .
Upendo wangu kwake uliongezeka nilipomuomba awe mpenzi wangu japo mwanzoni aliniletea visababu ila hatimae akafungua moyo wake nikajisweka ndani
Tumeendelea hivyo hivyo mwisho wa siku tuwaka wapenzi wa ukweli ukweli hata marafiki zangu wakamtambua kinoma. Sikuishia hapo tuu, wazo la kuoa liliniijia kichwani. Sikujivunga nilimchana kusudio langu kwake, alinikumbatia sana akasema tokea azaliwe hajawahi kukutana na mwanaume kama mimi. Nilivimba kichwa nikajiona jiwe kwa covid19
Baada ya kazi iliyokuwa imenipeleka huko kuisha, nilirudi Kigoma kuendelea na majukumu yangu ya kila siku, binti tuliendelea kuwasiliana mara nyingi alipiga yeye.
Penzi lilikolea mwisho wa siku shetani naye hakuwa mbali na kichwa changu cha chini alibonga nacho kikaanza kusumbua kuashuria mbususu inahitajika, nilimgusia ilo suala akagoma akidai mpaka nimuoe na tufunge ndoa, sikubisha nilimkubalia kishingo upande
TUJE KWENYE POINTI
*******
Wiki kama mbili zilizopita nilimpigia simu nikihitaji aje anione na apaone napoishi, alinikubalia lakini akaniomba aje week nyingine kulingana na kubanwa na kazi. Nilimwelewa na nikamtakia kazi njema
Hatimae week ya kuja iliwadia, alintext akidai kesho ataanza safari. Nilifurahi kidume kwa sbb niliamini naenda kujisevia vitu vya chumbani kiulainiiiii.
Alifika, nilimpokea sote tulifurahi kukutana kwa mara nyingne tena. Nikampleka home na taratibu za ugeni zikafutaa.
USIKU ULIPOFIKA
Baada ya msosi wa usiku nilimuaga naenda dukan nilimzuga naenda kununua soda kumbe nimeenda kununua vipimo ili nimpime niwe na uhakika wa kitu nachotaka kufanya
Nilirud nikakaa nae mezani tukapiga story nyingi na kukumbushana matukio ya Arusha, nilianza chombezo za mahaba dogo akarespond
Nikamsogelea huku kichwa cha chini kinalipua volcano, nikamshika kiuno akanikumbatia nikapapasa papasa kama dk 3 ivi mtoto hoi. Yesu akanitembelea haraka nikakumbuka vipimo, vilikuwa mfukoni nikavitoa nikaweka mezani
Hakushtuka wala kuweka wasiwasi akaniuliza swal "CELV kwa nn unataka kuwa na papara wakat nilikwambia nitakupa ukinioa"
sikumsikiliza kiivile akili yote iliishia kwenye mbususu yake.
Tulipima wote tukakuta tuko fresh ila aligoma kunipa mchezo, nilichukia kishenzi, alinisisitizia hawezi kunipa na hafikirii kunipa et kama ni kushika nimshike shike koote ila kutoa hatoi.
Kidume nilibadilika, nilisonya wazo la kumfukuza na kumpa nauli usiku ule ule likanijia alijibu vyovyote vile ntakavyoamua sawa tu.
Sikuwa na chaguo sahihi kwa wakati huo, niliwaza nimbake tu nahisi aliligundua hilo. Alivuta pumzi ndefu akasindikiza na maneno ya kuniomba nitulie anielezee kitu,
Aliteta."celv naomba unisamehe kwa yote yameyotea muda mfupi uliopita, nakupenda sana na najua pia unanipenda nisiwe msimuliaji sana ila nakuomba nitakaloliongea usinichukie wala kunivunjia heshima ila mapenz ndo yamenileta huku"
"Mimi kufikia hapa nimeishi kwa malezi ya Shangaz. Simjui baba wala mama, wazaz wangu wote walikufa, nilipeleleza sana nilipokuwa mkubwa niliambiwa wazazi wangu walikufa kwa UKIMWI na mm nilizaliwa nao ila tangu mdogo sikuwah kuacha kumeza dawa kias kwamba mpaka sasahiv naendelea kutumia dawa hali inayopelekea wadudu wasionekane kwenye vipimo. Naomba unisamehe nipo chini ya miguu yako"
Baada ya kunihutubia nilihisi mwili kufa ganzi nilipepesuka nikadondoka chini, nakuja kuzinduka nipo kweny sofa na maji pembeni, akili zinanirudia kumbe paula hakuondoka alibakia pale pale
Bado yupo home tunalala vyumba tofauti, kanambia ntakaloona linanifaa bas hatokuw na jins.
Ni mwezi sasa nikiwa kwenye mahusiano na binti wa miaka 24 tulikutana Arusha kwenye inshu ya kikazi. Tulitokea kuzoeana kiasi kwamba ilifikia hatua akanitambulisha kwa rafiki zake kama mtu anayejali upendo na thamani .
Upendo wangu kwake uliongezeka nilipomuomba awe mpenzi wangu japo mwanzoni aliniletea visababu ila hatimae akafungua moyo wake nikajisweka ndani
Tumeendelea hivyo hivyo mwisho wa siku tuwaka wapenzi wa ukweli ukweli hata marafiki zangu wakamtambua kinoma. Sikuishia hapo tuu, wazo la kuoa liliniijia kichwani. Sikujivunga nilimchana kusudio langu kwake, alinikumbatia sana akasema tokea azaliwe hajawahi kukutana na mwanaume kama mimi. Nilivimba kichwa nikajiona jiwe kwa covid19
Baada ya kazi iliyokuwa imenipeleka huko kuisha, nilirudi Kigoma kuendelea na majukumu yangu ya kila siku, binti tuliendelea kuwasiliana mara nyingi alipiga yeye.
Penzi lilikolea mwisho wa siku shetani naye hakuwa mbali na kichwa changu cha chini alibonga nacho kikaanza kusumbua kuashuria mbususu inahitajika, nilimgusia ilo suala akagoma akidai mpaka nimuoe na tufunge ndoa, sikubisha nilimkubalia kishingo upande
TUJE KWENYE POINTI
*******
Wiki kama mbili zilizopita nilimpigia simu nikihitaji aje anione na apaone napoishi, alinikubalia lakini akaniomba aje week nyingine kulingana na kubanwa na kazi. Nilimwelewa na nikamtakia kazi njema
Hatimae week ya kuja iliwadia, alintext akidai kesho ataanza safari. Nilifurahi kidume kwa sbb niliamini naenda kujisevia vitu vya chumbani kiulainiiiii.
Alifika, nilimpokea sote tulifurahi kukutana kwa mara nyingne tena. Nikampleka home na taratibu za ugeni zikafutaa.
USIKU ULIPOFIKA
Baada ya msosi wa usiku nilimuaga naenda dukan nilimzuga naenda kununua soda kumbe nimeenda kununua vipimo ili nimpime niwe na uhakika wa kitu nachotaka kufanya
Nilirud nikakaa nae mezani tukapiga story nyingi na kukumbushana matukio ya Arusha, nilianza chombezo za mahaba dogo akarespond
Nikamsogelea huku kichwa cha chini kinalipua volcano, nikamshika kiuno akanikumbatia nikapapasa papasa kama dk 3 ivi mtoto hoi. Yesu akanitembelea haraka nikakumbuka vipimo, vilikuwa mfukoni nikavitoa nikaweka mezani
Hakushtuka wala kuweka wasiwasi akaniuliza swal "CELV kwa nn unataka kuwa na papara wakat nilikwambia nitakupa ukinioa"
sikumsikiliza kiivile akili yote iliishia kwenye mbususu yake.
Tulipima wote tukakuta tuko fresh ila aligoma kunipa mchezo, nilichukia kishenzi, alinisisitizia hawezi kunipa na hafikirii kunipa et kama ni kushika nimshike shike koote ila kutoa hatoi.
Kidume nilibadilika, nilisonya wazo la kumfukuza na kumpa nauli usiku ule ule likanijia alijibu vyovyote vile ntakavyoamua sawa tu.
Sikuwa na chaguo sahihi kwa wakati huo, niliwaza nimbake tu nahisi aliligundua hilo. Alivuta pumzi ndefu akasindikiza na maneno ya kuniomba nitulie anielezee kitu,
Aliteta."celv naomba unisamehe kwa yote yameyotea muda mfupi uliopita, nakupenda sana na najua pia unanipenda nisiwe msimuliaji sana ila nakuomba nitakaloliongea usinichukie wala kunivunjia heshima ila mapenz ndo yamenileta huku"
"Mimi kufikia hapa nimeishi kwa malezi ya Shangaz. Simjui baba wala mama, wazaz wangu wote walikufa, nilipeleleza sana nilipokuwa mkubwa niliambiwa wazazi wangu walikufa kwa UKIMWI na mm nilizaliwa nao ila tangu mdogo sikuwah kuacha kumeza dawa kias kwamba mpaka sasahiv naendelea kutumia dawa hali inayopelekea wadudu wasionekane kwenye vipimo. Naomba unisamehe nipo chini ya miguu yako"
Baada ya kunihutubia nilihisi mwili kufa ganzi nilipepesuka nikadondoka chini, nakuja kuzinduka nipo kweny sofa na maji pembeni, akili zinanirudia kumbe paula hakuondoka alibakia pale pale
Bado yupo home tunalala vyumba tofauti, kanambia ntakaloona linanifaa bas hatokuw na jins.