mtoto wa kipare
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 187
- 196
Uko sahihi lakini washauri wa afya wanakupatia maelekezo na ukiyafuata unaishi na maambukizi hupati mkuu,ni ishu ya kutii kile unachoambiwa tu Kama utumie Kinga unatumia kwa usahihi kwa wiki piga game Mara mbili unafuata utakachoambiwa basiiSumu haionjwi chief!