R Rwebo JF-Expert Member Joined Oct 17, 2015 Posts 1,585 Reaction score 2,015 Apr 23, 2024 #141 Extra miles said: BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa. Click to expand... Umenena vyema. Kwa ufupi BOT ni watch dog wa taasisi zote zinazo jihusisha na biashara za kifedha.
Extra miles said: BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa. Click to expand... Umenena vyema. Kwa ufupi BOT ni watch dog wa taasisi zote zinazo jihusisha na biashara za kifedha.
Dr. Wansegamila JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 3,025 Reaction score 8,370 Apr 23, 2024 #142 Adolph Jr said: Mungu akubariki sana Dr hakika hii inaweza msaidia sana rafiki yangu, ubarikiwe mno....πππ Click to expand... Mkuu Adolph Jr tupatie mrejesho wa hii ishu please!
Adolph Jr said: Mungu akubariki sana Dr hakika hii inaweza msaidia sana rafiki yangu, ubarikiwe mno....πππ Click to expand... Mkuu Adolph Jr tupatie mrejesho wa hii ishu please!
C clemsha789 Senior Member Joined Jul 1, 2023 Posts 198 Reaction score 336 Apr 23, 2024 #143 Mkopo hewa sijaelewa, kwani ela haikuingia? Na kama iliingia benki statement si ipo kuthibitisha kama hiyo ela imeingia au la Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkopo hewa sijaelewa, kwani ela haikuingia? Na kama iliingia benki statement si ipo kuthibitisha kama hiyo ela imeingia au la Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Adolph Jr JF-Expert Member Joined Nov 5, 2016 Posts 6,290 Reaction score 10,185 Apr 26, 2024 Thread starter #144 Dr. Wansegamila said: Mkuu Adolph Jr tupatie mrejesho wa hii ishu please! Click to expand... Alipata mkopo, ila haukumsaidia maana alikuwa karudi kutoka msibani. Nilimuuliza itakuwaje akasema walimwambia baada ya miezi mitatu akarudishe deni lao ili ajivue mkopo huo, baada ya hapo sijamuuliza tena.
Dr. Wansegamila said: Mkuu Adolph Jr tupatie mrejesho wa hii ishu please! Click to expand... Alipata mkopo, ila haukumsaidia maana alikuwa karudi kutoka msibani. Nilimuuliza itakuwaje akasema walimwambia baada ya miezi mitatu akarudishe deni lao ili ajivue mkopo huo, baada ya hapo sijamuuliza tena.
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 13,960 Reaction score 26,135 Apr 28, 2024 #145 Ye anywee bia hizo pesa
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 22,756 Reaction score 27,481 Apr 28, 2024 #146 Extra miles said: BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa. Click to expand... Kumbe hii ni bank mbaya kiasi hiki?
Extra miles said: BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa. Click to expand... Kumbe hii ni bank mbaya kiasi hiki?
Nguva Jike JF-Expert Member Joined Jan 22, 2018 Posts 1,285 Reaction score 1,853 Apr 28, 2024 #147 Akasome albadeer,akavunje chungu na kulaani kitendo hicho.