Jinsi ya kuwasiliana nao ndiyo tatizo, nimesikia wanatumia njia ya barua, duuuh...BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa.
Anasema....Alifuatilia siku mbili mfululizo wakimzungusha , kesho inaingia, kesho inaingia, kesho ikawa kesho hadi leo na bado wanasema kesho.......Na yeye alichukua hatua gani ambapo hakuna pesa? Kwa hio alilala tu hata kama hajapewa mkopo ?
Wazo zuri ila nina wasi wasi maana awali aliisha saini kuomba mkopo.....?Mkopo si jinai kuwa lazima uadhibiwe. Aende pale na barua rasmi na bank statement kuwa haitaji tena sababu ya muda mkopo umechelewa mpaka anaandika barua haujaingia na ushahidi ni BS yake. Barua ieleze wazi tarehe aliyoomba mkopo na muda uliopita na haitaji tena sababu dirisha la alichotaka kufanya na hiyo pesa limefungwa na kuichukua hiyo pesa ni kutengeneza non-performing loan.
Wakilazimisha asichukue pesa wala asipeleke marejesho na atoe taarifa BOT kwa maandishi kuwa analazimishwa kukopeshwa watachukua pesa yao.
🤔🤔🤔 ....Ok nalo ni wazo ntamueleza kama wakimsumbua, aangalie upande huuTafuta Wakili atakupa ushauri mzuri zaidi, ila mimi nashauri akatae kuchukua hela kwa sababu bank wamekiuka masharti ya mkataba wa mpoko hela ilitakiwa kutoka ndani ya saa 24, imetoka nje ya muda mambo yake yameshindwa kufanyika kwa wakati....
Awaonyeshe jeuri zaidi aombe compersation aseme alikuwa na biashara na iyo hela ilikuwa ya kuagiza mzigo ambao ungeuzwa sikukuu mzigo ameuza kwa hasara sababu alichelewa kupata pesa kutoka ABC aombe 20M kama hasara aafu aacue mahakama iamue 😂
NB:Tafuta wakili mwenye roho mbaya
Yeah aangalie ipi anaweza wakileta ukauzu anapita nao mazima🤔🤔🤔 ....Ok nalo ni wazo ntamueleza kama wakimsumbua, aangalie upande huu
Sawa ila hawakuuweka ndani ya muda unaohitajika. Bank haiwezi kulazimisha iwapo utapeleka barua rasmi ya kufuta maombi ya mkopo kabla hujawekewa mkopo. Na hata angekuwa kawekewa ila hajachukua still anaweza ghairi japo ataingia gharama kidogo ya riba ya mwezi ambayo ni chini ya 3%.Wazo zuri ila nina wasi wasi maana awali aliisha saini kuomba mkopo.....?
Ok, licha ya kuwa wanamwambia imeenda hazina.... mimi nilimshauri aende polisi kupata zuio la mkopo, vipi hapo?Amwandikie barua mwajiri ya kusitisha maombi ya mkopo au aongee na HR wake anacancel kijanja basi.
Ila ukikutana na HR mbumbumbu atakuzungusha maana hajui afanyeje.
Afike ofisi zao au awasiliane nao kwa anuani ifuatayo:Jinsi ya kuwasiliana nao ndiyo tatizo, nimesikia wanatumia njia ya barua, duuuh...
Zuio linatoka mahakamani, na sio polisiOk, licha ya kuwa wanamwambia imeenda hazina.... mimi nilimshauri aende polisi kupata zuio la mkopo, vipi hapo?
Shukrani sana, maana nimeanza kupata pa kumfarijia.Sawa ila hawakuuweka ndani ya muda unaohitajika. Bank haiwezi kulazimisha iwapo utapeleka barua rasmi ya kufuta maombi ya mkopo kabla hujawekewa mkopo. Na hata angekuwa kawekewa ila hajachukua still anaweza ghairi japo ataingia gharama kidogo ya riba ya mwezi ambayo ni chini ya 3%.
Asante sana rafiki, itabidi kuanza na namba maana s l.p hadi barua kufika siyo leo wala kesho.Afike ofisi zao au awasiliane nao kwa anuani ifuatayo:
BANK OF TANZANIA
16 Jakaya Kikwete Road 40184
P.O Box 2303
Dodoma Tanzania
Tel: +255 26 2963182 - 7 or +255 22 2232541
Fax: +255 26 2963189
Email: botcommunications@bot.go.tz
: info@bot.go.tz
Ushauri uliopewa ndiyo sahihi.Ok, licha ya kuwa wanamwambia imeenda hazina.... mimi nilimshauri aende polisi kupata zuio la mkopo, vipi hapo?
ShukraniUshauri uliopewa ndiyo sahihi.
Polisi na mambo ya mikopo haihusiki bwashee. Na wala hawawezi kuzuia, hata umpelekee IGP.
Nenda kwa HR wako, aandike barua ya mtumishi wake kusitisha maombi ya mkopo. Aeleze wazi sababu ni kuchelewa. Kisha agonge muhuri.
Toa copy ya barua husika. Fikisha kwa Loan department ya benki husika au kwa meneja.
Kisha wataongea watakachoongea.
Achana na mambo ya BOT kwa sasa.Asante sana rafiki, itabidi kuanza na namba maana s l.p hadi barua kufika siyo leo wala kesho.
Aende BOT kwanza maana court order haiwezi patikana haraka na inabidi pande mbili zote zisikilizwe.Kwahiyo kwa hatua ya kwanza haraka ni kuanzia wapi kufungua shutuma/ shauri ?