Msaada: Amepata mkopo ila hatujakiona chuo alopangiwa

Msaada: Amepata mkopo ila hatujakiona chuo alopangiwa

yahoocom

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
331
Reaction score
380
Ana perfomance nzuri CBG, ameomba chuo mwenge na UDOM mpaka sasa hatujaona chuo alichopangiwa. Je mtu anaweza pewa mkopo bila chuo? Ni njia ipi tunaweza tumia kujua chuo alichopangiwa? Vyuo hivyo alivyoomba tumeangalia hakuna. MSAADA TAFADHARI
 
achukue hiyo pesa aanzishe ujasiliamali,elimu yetu haina jipya lolote,atakuja kuukumbuka huo mkopo...
 
Amepata mkopo ila hatujakiona chuo alopangiwa_ukielewa maana ya hiki ulichokiandika kwenye heading yako ndio utaelewa pia maana ya mimi kukuletea pumba nilizokuandikia...
Ndg heslb yupo kwa list lkn chuo alivoomba hajaonekana sasa ndo nauliza kuna namna ya kuweza kuangalia vyuo vyote kuweza kumuona au nn twaweza fanya... Au kuna uwezekano bod ikaallocate mkopo bila chuo?
 
Ana perfomance nzuri CBG, ameomba chuo mwenge na UDOM mpaka sasa hatujaona chuo alichopangiwa. Je mtu anaweza pewa mkopo bila chuo? Ni njia ipi tunaweza tumia kujua chuo alichopangiwa? Vyuo hivyo alivyoomba tumeangalia hakuna. MSAADA TAFADHARI

Nadhani muwaulize TCU
 
Inawezekana aliconferm chuo kimojawapo. Bas kama ndo ivo aingie kwenye profile yake aangalie selection result
 
Back
Top Bottom