Msaada Ajira portal

tamuuuuu

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
19,972
25,215
Wakuu msaada wa mawazo,kila nikijaribu kufungua account Ajira portal naambiwa Temporarily Locked Out. Try again later.

Sasa nashindwa kuelewa ni nini shida?

Hatua zote nimezifuata kwa makini katika kujiunga na nikatumiwa Email kuwa Please click this link to Activate your account. Nikafanya hivo haifunguki bali inaniletea namba na herufi niingize tena.Lakini hata nikifanya hivyo inagoma.

Option zote nimejaribu inagoma, sijui nini cha kufanya baada ya hapo. Mawazo yenu please.

Asanteni.
 
Namimi pia nimeshindwa kabisa kulog in, nimejaribu option ya forgot password ila sijatumiwa email ya kuactivate 🙄 ngoja waje watupe muongozo.
 
Namimi pia nimeshindwa kabisa kulog in, nimejaribu option ya forgot password ila sijatumiwa email ya kuactivate ngoja waje watupe muongozo.
Aaah nahisi kuna mbinu mbinu mama.Very disappointing sn.

Vip kwema lakini?afya yako vip?
 
Mimi pia inaniletea hii kitu tangu juzi,



tatizo nini na qualification ninayo ambayo ni bachelor na position inahitaji bachelor

Msaada kwa mwenye uelewa
Screenshot_20220607-085323.jpg
 
Asanteni kwa mawazo wakuu,at least nimefikia 92% katika kujaza taarifa. Naomba mniombeeeee.

Bado tu recommendation letter.

Sasa sijui nitafanikiwa?
 
Kwani hyo recommended letter ni lazima..?
Mkuu nadhani ni kwa yule ambaye alikuwa anafanya au anayefanya kazi sehemu fulani ndo anaambatanisha.

Maana kama ulivyoona pale pana working experience, kama ulifanya na kama unaendelea fanya.So kigezo hiki ndo kinapelelea kuambatanisha recommendation letter.


Taarifa zangu zimefika 92% kabla ya hii letter, sasa sijui zitatimia 100%? Na je ni lazima zifike 100?
 
Mkuu nadhani ni kwa yule ambaye alikuwa anafanya au anayefanya kazi sehemu fulani ndo anaambatanisha.

Maana kama ulivyoona pale pana working experience, kama ulifanya na kama unaendelea fanya.So kigezo hiki ndo kinapelelea kuambatanisha recommendation letter.


Taarifa zangu zimefika 92% kabla ya hii letter, sasa sijui zitatimia 100%? Na je ni lazima zifike 100?
70% na kuendelea unaweza fanya application na ikakubali.
 
Mkuu nadhani ni kwa yule ambaye alikuwa anafanya au anayefanya kazi sehemu fulani ndo anaambatanisha.

Maana kama ulivyoona pale pana working experience, kama ulifanya na kama unaendelea fanya.So kigezo hiki ndo kinapelelea kuambatanisha recommendation letter.


Taarifa zangu zimefika 92% kabla ya hii letter, sasa sijui zitatimia 100%? Na je ni lazima zifike 100?
Mm sjaweka recommendation letter iko 95%,na siweki kwakwel not necessary nishaona wngi wamepata kaz without izo recommendation letter, wamepass tu interview zote wakaitwa
 
Mm sjaweka recommendation letter iko 95%,na siweki kwakwel not necessary nishaona wngi wamepata kaz without izo recommendation letter, wamepass tu interview zote wakaitwa
Sawa mkuu,tunapeana maarifa na namna nzuri ya kufanya vzr.Me nipo nahangaika kujaza vyeti,sema nilijaza but kumbe vinatakiwa vilivyokuwa certified. Sasa kutoa hivi imekuwa ngumu ili niweke certified.
 
Sawa mkuu,tunapeana maarifa na namna nzuri ya kufanya vzr.Me nipo nahangaika kujaza vyeti,sema nilijaza but kumbe vinatakiwa vilivyokuwa certified. Sasa kutoa hivi imekuwa ngumu ili niweke certified.
Ongezea Tu vilivyo certified vikikataa kutoka..maana apo unatakiwa uedit uwek vilivyo certified so vikikataa wka na vilivyo certified hakuna shida ata vikijirudia mara 2
 
Ongezea Tu vilivyo certified vikikataa kutoka..maana apo unatakiwa uedit uwek vilivyo certified so vikikataa wka na vilivyo certified hakuna shida ata vikijirudia mara 2
Sawa mkuu ngoja nipambane.
 
Back
Top Bottom