Ajira Portal wapo kweli ofisini?

MAKA Jr

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
256
150
NAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao.

Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu hawapokei.

Naombeni msaada tafadhali.
 
NAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao.

Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu hawapokei.

Naombeni msaada tafadhali.
Nahisi hawapo ofisini maana simu zao zinaita tu
 
NAOMBA MSAADA KWA ANAYEJUA NAMNA YA KUWAPATA. Nahitaji sana huduma yao.

Nimefungua Akaunti ya Ajira Portal, na nimetumiwa email na link ya ku-activate account yangu lakini kila niki-click ile link kwenye email yangu, link haifunguki. Nimeawaandikia email lakini hawajajibu. Nimewapigia simu hawapokei.

Naombeni msaada tafadhali.
Kama upo Dodoma nenda ofisini kwao watakusaidia.

Siku hizi Bongo ofisi za umma hawana msaada hata wa kupokea simu
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom