Msaada afanyeje huyu ?

Msaada afanyeje huyu ?

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,190
Reaction score
29,748
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C

Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine zisizoeleweka.Bahati mbaya akachaguliwa veterinary SUA.

Sasa haitaki hiyo,msaada afanyeje pengine ili asome hizo kozi azitakazo?Au ndo basi tena asubiri mwakani?
 
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C

Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine zisizoeleweka.Bahati mbaya akachaguliwa veterinary SUA.

Sasa haitaki hiyo,msaada afanyeje pengine ili asome hizo kozi azitakazo?Au ndo basi tena asubiri mwakani?
Sasa kwann hatak wakat kachagua mwenyew
 
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C

Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine zisizoeleweka.Bahati mbaya akachaguliwa veterinary SUA.

Sasa haitaki hiyo,msaada afanyeje pengine ili asome hizo kozi azitakazo?Au ndo basi tena asubiri mwakani?
Kwani mkuu, huko SUA amechaguliwa round ya ngapi?

Hata mimi nataka asome Medicine ama Pharmacy ama Nursing ama Medical laboratory.


Round ya Tatu ipo, aombe round ya Tatu.
 
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C

Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine zisizoeleweka.Bahati mbaya akachaguliwa veterinary SUA.

Sasa haitaki hiyo,msaada afanyeje pengine ili asome hizo kozi azitakazo?Au ndo basi tena asubiri mwakani?
Aombe third round
 
Aombe 3rd round asikate tamaa mimi mwenyewe nilikua na matokeo hayo hayo na nimepata multiple selections
Bugando MD
Kcmc
Udsm
Na Udom
NB:usikate tamaa
 
Alichaguliwa veterinary et!!! round ya Kwanza kabisa.Sasa mkuu round ya pili kakosa ya tatu atapata?Na je vyuo vipo?si vitakuwa vimejaa Kwa kozi hizo? Asante Kwa ushauri
Kwani mkuu, huko SUA amechaguliwa round ya ngapi?

Hata mimi nataka asome Medicine ama Pharmacy ama Nursing ama Medical laboratory.


Round ya Tatu ipo, aombe round ya Tatu.
 
Aombe 3rd round asikate tamaa mimi mwenyewe nilikua na matokeo hayo hayo na nimepata multiple selections
Bugando MD
Kcmc
Udsm
Na Udom
NB:usikate tamaa
Asante mkuu Kwa ushauri.Ulitumia account ileile ya awali?
 
Hii mistake huwa wanafanya wengi wanaoapply sababu ya kukosa muongozo na technic ya kupata exactly unachotaka kusoma. Mistake ya kujaza kozi ili kujaza nafasi ni mbaya sana na ndio imemcost mdogo wako.

Unakuta mtu kafaulu vizuri kabisa, ana 1 nzuri ya PCB na anaqualify kusoma kozi za afya, lkn mistake ya kukosa technic ya kuapply inamla kichwa.

Mfano kama angetaka apate kozi mojawapo ya afya hakutakiwa aweke kozi nyingine kati ya hizo. Kwa sababu ya competition kubwa iliyopo ukijichanganya ukajaza kozi ya kijingajinga hata kama umeiweka ya mwisho wanakuchukua hiyohiyo bila kupepesa macho.

Ushauri: Dirisha la transfer likifunguliwa ajaribu bahati yake. Japo hizo kozi zina competition sio ya nchi hii. Tena unakuta capacity ya chuo ni wanafunzi 150 wa MD lkn wanaamua kuongeza mpaka 200+ sababu ya uwingi wa wanafunzi na ufaulu mzuri.

Kwa hiyo ajaribu tuu akipata ashukuru Mungu, akikosa atafute options zingine.


Unforgetable
 
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C

Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine zisizoeleweka.Bahati mbaya akachaguliwa veterinary SUA.

Sasa haitaki hiyo,msaada afanyeje pengine ili asome hizo kozi azitakazo?Au ndo basi tena asubiri mwakani?
Hapa kuna utata mkubwa-vijana wanaomba moja kwa moja vyuoni. Hivyo huyo alijaza SUA on line application. Hizo koozi zote za afya unazotaja haziko SUA maana yake huko kwenye vyuo vingine alivyo omba amekosa lakini BVM ya SUA amechaguliwa.
Sasa kama hakuwa na multiple selections ina maana TCU wamesha mrekodi kuwa anakwenda SUA. Hata akiomba tena wakati wa kuverify mfumo itaonyesha huyo tayari ni wa SUA na sidhani kama atabadilishiwa. Round ya tatu ni round tata hata hivyo vyuo vingi vya afya vitakuwa vimejaa au karibu ya kujaa. Kama hataki BVM basi asiende na awasiliane na TCU wamtoe kwenye records zao ili mwakani aanze upya.

Lakini pia ajiulize je udakitari wa wanyama ni mbaya kiasi hicho kwamba hataki kwenda? BVM mkuu ni program inayo eleweka na ina heshima zake. Kwa upande wa masomo hayapitani sana na yale ya bina damu, ingawa inakuwa more challenging kwa kuwa una cover species nyingi zaidi. Course ni miaka ile ile mitano. Ajira hazijawa issue kubwa upande huo na hata akitaka kuji ajiri hili linawezekana. Ukiwa makini mpunga wako unaweza kuwa mrefu tu. Hivyo atafakari kwa undani. Kusubiri mwakani nayo ni aina ya kamari. ANYWAY HUU NI USHAURI TU.


Aombe 3rd round asikate tamaa mimi mwenyewe nilikua na matokeo hayo hayo na nimepata multiple selections
Bugando MD
Kcmc
Udsm
Na Udom
NB:usikate tamaa
Sasa tujiulize kwa nini yeye hakupata multiple selections na ufaulu huo huo. Kuna kitu sikielewi hapa.
 
Hapa kuna utata mkubwa-vijana wanaomba moja kwa moja vyuoni. Hivyo huyo alijaza SUA on line application. Hizo koozi zote za afya unazotaja haziko SUA maana yake huko kwenye vyuo vingine alivyo omba amekosa lakini BVM ya SUA amechaguliwa.
Sasa kama hakuwa na multiple selections ina maana TCU wamesha mrekodi kuwa anakwenda SUA. Hata akiomba tena wakati wa kuverify mfumo itaonyesha huyo tayari ni wa SUA na sidhani kama atabadilishiwa. Round ya tatu ni round tata hata hivyo vyuo vingi vya afya vitakuwa vimejaa au karibu ya kujaa. Kama hataki BVM basi asiende na awasiliane na TCU wamtoe kwenye records zao ili mwakani aanze upya.

Lakini pia ajiulize je udakitari wa wanyama ni mbaya kiasi hicho kwamba hataki kwenda? BVM mkuu ni program inayo eleweka na ina heshima zake. Kwa upande wa masomo hayapitani sana na yale ya bina damu, ingawa inakuwa more challenging kwa kuwa una cover species nyingi zaidi. Course ni miaka ile ile mitano. Ajira hazijawa issue kubwa upande huo na hata akitaka kuji ajiri hili linawezekana. Ukiwa makini mpunga wako unaweza kuwa mrefu tu. Hivyo atafakari kwa undani. Kusubiri mwakani nayo ni aina ya kamari. ANYWAY HUU NI USHAURI TU.


Sasa tujiulize kwa nini yeye hakupata multiple selections na ufaulu huo huo. Kuna kitu sikielewi hapa.
Kama nafasi zitakuwepo anaweza akaomba third round
 
Back
Top Bottom