msaaada natafuta amplifire

msaaada natafuta amplifire

Mshumaaa

Senior Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
156
Reaction score
17
Wadau natafuta Amp ya kutembezea picha kwenye cable ambayo inaweza tembeza hata 5km
Natanguliza shukrani.
 
Bado kidogo nikwambie sikiliza clouds fm kuanzia saa moja hadi saa3 usiku,subiri wadau wake!!!
 
tumia faiba mkuu mambo ya amprifaya ni kizamani
 
tumia faiba mkuu mambo ya amprifaya ni kizamani

Ndio system niliyonayo hata hivyo hiyo ni changamoto. Nijulishe vifaa ntakavyo tumia pamoja na ghrama za hiyo faiba please.
 
Ndio kaka niko Tarime

Wateja unao wa kutosha? kuna wazo tunaweza kushirikiana kufanya katika network yako. Btw, unatakiwa uwe na signal booster kila baada ya umbali flani ili kuimarisha signal yako. "Amplifier" unayoisema haiwezi kukusaidia sana kama una wateja wengi.
 
Wateja unao wa kutosha? kuna wazo tunaweza kushirikiana kufanya katika network yako. Btw, unatakiwa uwe na signal booster kila baada ya umbali flani ili kuimarisha signal yako. "Amplifier" unayoisema haiwezi kukusaidia sana kama una wateja wengi.

Kaka nimekutumia PM.
 
kwa tarime kupata issue, dar huku zimejaa sana

Issue sio umbali sasa hivi Dunia ni kijiji issue uhakika wa kupata hiyo kitu vitu vinatoka ulaya sembuse hapo Dar au hapo dar kuna kiwanda kabisa? Vyote si vimeagizwa tu. Mabasi yapo kila mara tunaagiza mizigo na tunaipata boss.
 
Back
Top Bottom