kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 126
- 17
Wanajamii jamani naomba msaada wenu wanandugu..leo nilikuwa napita pita kwenye website moja wamerank anti virus number moja ni bit defender na ya pili ni karspersky ambayo ndio natumia sasa kwa miaka zaidi ya minne...jamini sasa nakuja kwenu nataka msaada wa bit defender najua jamaa wapo vizuri sana lakni nujua apa nitapata msaada wa anti virus hio na keys zake coz wale jamaa wanatoa trial period ya siku 9....natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu....rgds