Alfa Blond ameiimba hiyo bunduki. Kwenye kibao chke cha Khalashnikov. Hiko kifaa akikishika msomali pale mogadishu basi anaona kama dunia ioo kiganjani kwake.
Kifupi madhara ya hii bunduki ni makubwa sana. Osama bi Laden alikuwa haiachi hata kidogo.
Imeleta madhara huko somalia, liberia Seara Leoni, Afganistan nk.
Afu Mikhaily mwenyewe kafa masikini.
AKA-47 ndo nn?mnajiandaa sana kubisha vitu msivyovijua angalia sasa unaandika upuziUrusi haikuvumbua AKA 47.
Mbona hamuelewi AKA-47 ndo silaha gani jamaa anazungumzia AK-47AKA 47 ni mali ya soviet si Urusi kama jamaa anavyodai. Urusi si Soviet.
Wewe mzima kweli?Aah.hamna, hiyo haipo. Ipo AKA 47 tu.
Russia ndo ilikuwa kila kitu kwa Soviet au huyo jamaa anaiona Soviet ni wapiBaba successor pekee was Soviet Russia Ni Russian Federation. Kwahiyo Ni urusi pekee ambao kiukweli vumbuzi nyingi zimefanyika kwao ( mikoani) hata kabla ya anguko la Soviet Russia.
Russia ndo imebeba kila baya na zuri la Soviet Russia baada ya anguko Lile.
Kinachokufurahisha ni kuwa urusi siyo wagunduzi wa hiyo bunduki siyo?nonsense!Bwashee ni hivi, Ukawa wangelijenga ofisi then ikasambalatika kama ilivyo sasa hiyo ofisi isingelikuwa Mali ya Chedema et kwasababu Chedema a
Ilikuwa na mtaji wa mkubwa na webunge wengi.
Back to the Topic.
Hadi leo kila Nchi mwanachama wa Soviet ana Akilimiliki ya kufyatua hayo mabunduki bila kuhojiwa na mwenzeka.
AKA 47 ni mali ya soviet si Urusi kama jamaa anavyodai. Urusi si Soviet.
Mueleweshe bossRussia ndo ilikuwa kila kitu kwa Soviet au huyo jamaa anaiona Soviet ni wapi
Ndio hizi wanazobeba polisi ?Hizi unazoziona bongo ni SMG 56 type au kwa jina lingine ni Ak 56 hii ni submachine gun tofauti kabisa na Ak 47 ambayo ni assault rifle na kama hujui silaha hutaweza kuzitofaitisha zinafanana sana kimuonekano
Bora umejitetea.. walitaka waanze kukuunganisha na panyaroad MkuuNenda you tube utaona majaribio yote ya ak kuna kutupwa kwenye tope zito na ikagonga kazi kama kawa,kuna kuchimbiwa,kuna kulowekwa kwenye maji zote hizo na walifanya hivyo kuilinganish na ile sijui inaitwa m16 carbine ya marekani
Polisi wanabeba SMG 56 type inafanana na Ak 47 kimuonekano ila sio Ak 47Ndio hizi wanazobeba polisi ?
Hizo SMG 56 zimetengenezwa Urusi au China ?Polisi wanabeba SMG 56 type inafanana na Ak 47 kimuonekano ila sio Ak 47
Hizo SMG zimetengenezwa chinaHizo SMG 56 zimetengenezwa Urusi au China ?
Guns don't kill people, but people kill people.Huyu jamaa ni lazima alikuwa ni wakala wa shetani maana hii imekunywa Sana damu za watu
Msomali anaijuia AK kama masai anavyojua mifugo yake.Alfa Blond ameiimba hiyo bunduki. Kwenye kibao chke cha Khalashnikov. Hiko kifaa akikishika msomali pale mogadishu basi anaona kama dunia ioo kiganjani kwake.
Kifupi madhara ya hii bunduki ni makubwa sana. Osama bi Laden alikuwa haiachi hata kidogo.
Imeleta madhara huko somalia, liberia Seara Leoni, Afganistan nk.
Afu Mikhaily mwenyewe kafa masikini.
But the gun function is to killGuns don't kill people, but people kill people.