Mrudishieni Mbowe Chama Chake

Mrudishieni Mbowe Chama Chake

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,643
Reaction score
1,111
Enyi wakaidi, mrudishieni Mbowe Chama chake

Msidhani aliokota CHADEMA chini ya mwembe

Mtachagua moja kurudisha au kuendelea kusalitiwa

Maafa yanayowapata sio ya kutengenezewa bali ni laana na machozi ya Mbowe

Mbowe hakutaka kung'ang'ania CHADEMA bali alitaka kujenga msingi imara ndipo awaachie

Asante yenu ilikuwa matusi

Msidhani mtamtukana mnavyotaka ninyi na iishe juu

Mbowe sio samaki hata machozi yake yaishie baharini kanakwamba hawezi kuwalaani

Mmemtukana matusi yakila aina lakini hamkumbuki kuwa yeye ndiye aliyewajengea msingi wa mafanikio yenu ya sasa

Mlidandia treni kwa mbele sasa inawakanyaga hampaswi kulia kwasababu mliyataka wenyewe, tulieni dawa iingie taratibu kwasababu mkiruka itamwagika

Kaeni kwa kutulia kwasababu yajayo yanafurahisha

Maji mtaita mma
 
Enyi wakaidi, mrudishieni Mbowe Chama chake

Msidhani aliokota CHADEMA chini ya mwembe

Mtachagua moja kurudisha au kuendelea kusalitiwa

Maafa yanayowapata sio ya kutengenezewa bali ni laana na machozi ya Mbowe

Mbowe hakutaka kung'ang'ania CHADEMA bali alitaka kujenga msingi imara ndipo awaachie

Asante yenu ilikuwa matusi

Msidhani mtamtukana mnavyotaka ninyi na iishe juu

Mbowe sio samaki hata machozi yake yaishie baharini kanakwamba hawezi kuwalaani

Mmemtukana matusi yakila aina lakini hamkumbuki kuwa yeye ndiye aliyewajengea msingi wa mafanikio yenu ya sasa

Mlidandia treni kwa mbele sasa inawakanyaga hampaswi kulia kwasababu mliyataka wenyewe, tulieni dawa iingie taratibu kwasababu mkiruka itamwagika

Kaeni kwa kutulia kwasababu yajayo yanafurahisha

Maji mtaita mma
Umeandika point, maskini siyo watu, umaskini ni laana, maskini siyo wa kumsaidia kaa mbali na maskini wana roho mbaya wanasubiri anguko lao washerehekee km wendawazimu hawana ht aibu! Chadema lazima kirudi mikononi mwa Mbowe aliijenga kwa jasho na damu i ingawa Mbowe alikosea sana kuwaachi hao mambwa taasisi aliyoijenga!
 
Enyi wakaidi, mrudishieni Mbowe Chama chake

Msidhani aliokota CHADEMA chini ya mwembe

Mtachagua moja kurudisha au kuendelea kusalitiwa

Maafa yanayowapata sio ya kutengenezewa bali ni laana na machozi ya Mbowe

Mbowe hakutaka kung'ang'ania CHADEMA bali alitaka kujenga msingi imara ndipo awaachie

Asante yenu ilikuwa matusi

Msidhani mtamtukana mnavyotaka ninyi na iishe juu

Mbowe sio samaki hata machozi yake yaishie baharini kanakwamba hawezi kuwalaani

Mmemtukana matusi yakila aina lakini hamkumbuki kuwa yeye ndiye aliyewajengea msingi wa mafanikio yenu ya sasa

Mlidandia treni kwa mbele sasa inawakanyaga hampaswi kulia kwasababu mliyataka wenyewe, tulieni dawa iingie taratibu kwasababu mkiruka itamwagika

Kaeni kwa kutulia kwasababu yajayo yanafurahisha

Maji mtaita mma
Si alishindwa uchaguzi? Au ndio mnatengeneza ajenda ili jamaa arudi kupitia mlango wa nyuma
 
Leo MBOWE kakufikisha kileleni umeamua Raha zote uzilete JF wewe kiazi mbatata
 
Isiwe nongwa, arudishiwe tu, maana mambo yamekuwa mengi ndani ya chama hicho na amesusa. Lissu aachane na CHADEMA ina wenyewe wamemsusia na sasa wanaiyumbisha isambaratike mazima
 
Isiwe nongwa, arudishiwe tu, maana mambo yamekuwa mengi ndani ya chama hicho na amesusa. Lissu aachane na CHADEMA ina wenyewe wamemsusia na sasa wanaiyumbisha isambaratike mazima
Kwani ikisambaratika si ndo vizuri sisiemu mtafurahia mbona kama hamueleweki tena
 
Alishindwa kwenye sanduku la kura, hana wa kumlilia.

Hata hivyo "from Ukonga to State House" ilitengeneza damage kubwa mno kwake, from there amekuw kibaraka kama vibaraka wengine.
 
Pia wasisahau kumwomba msamaha hawara wa Dr Slaa, Bi Mushumbusi, walimtukania baby wake na kumwita Dr Mihogo. Laana ya hawara wa Dr Slaa inawaandama.
 
Enyi wakaidi, mrudishieni Mbowe Chama chake

Msidhani aliokota CHADEMA chini ya mwembe

Mtachagua moja kurudisha au kuendelea kusalitiwa

Maafa yanayowapata sio ya kutengenezewa bali ni laana na machozi ya Mbowe

Mbowe hakutaka kung'ang'ania CHADEMA bali alitaka kujenga msingi imara ndipo awaachie

Asante yenu ilikuwa matusi

Msidhani mtamtukana mnavyotaka ninyi na iishe juu

Mbowe sio samaki hata machozi yake yaishie baharini kanakwamba hawezi kuwalaani

Mmemtukana matusi yakila aina lakini hamkumbuki kuwa yeye ndiye aliyewajengea msingi wa mafanikio yenu ya sasa

Mlidandia treni kwa mbele sasa inawakanyaga hampaswi kulia kwasababu mliyataka wenyewe, tulieni dawa iingie taratibu kwasababu mkiruka itamwagika

Kaeni kwa kutulia kwasababu yajayo yanafurahisha

Maji mtaita mma
Kwa hiyo wakina Yericko Nyerere na yule mwehu wa Shinyanga mjini aliyehamia ACT ndio ambao tulitakiwa kuwaamini kwamba wataipeleka Chadema mbele, hauwezi kuwa haujalewa.
 
1.Baba yake mbowe alikuwa rafiki mkubwa wa Nyerere,
2..Makongoro Nyerere ndio msimamizi wa ndoa ya Mbowe,
3.Nyerer alimteua Mtei kuwa Waziri wa Fedha,kwa ushauri wa Baba yake Mbowe,
3.Nyerere ndio alimteua ndugu Mtei kuwa gavana wa Bank kuu ya Tanzania
4.Mtei alimuajiri Mbowe Bank kuu huku akiwa na Elimu ya form 6,
5.Mbowe kwa kurudisha fadhila alimuoa mtoto wa Mzee Mtei,
6.Mtei walishirikiana na Nyerere kuanzisha CHADEMa-1992,kama chama kivuli baada ya kuanzisha vyama vingi ili kuua nguvu ya vyama vya upinzani vitakavyoibuka.
7.Mtei alikikabidhi chama kwa Mkwe wake a.k.a Mbowe.

CAHDEMA ilianzishwa na Nyerere kuwa CCM-B,kumwachia Lissu hiki chama ni zaidi ya bomu la nuclear.
 
Back
Top Bottom