Mrs. Kafulila kuitikisa Iramba

Mrs. Kafulila kuitikisa Iramba

MAPALAGE

Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
38
Reaction score
21
Baada ya hujuma nyingi za CCM kuzuia mikutano ya CHADEMA kwa kuhofia kuibuliwa sakata la ufisadi wa pesa za maabara!!

Kesho tar 16, Jesca Kishoa ataitikisa Iramba ktk mkutano mkubwa utakaofanyika Kiomboi.

Kamanda huyu ameonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kushawishi, uwezo mkubwa wa kujenga hoja na amekuwa akivunja ngome za mwigulu kiulaiiini, mfn, ktk mikutano yake ya Ndago na Shelui wilayani iramba, amekonga mioyo ya wananchi wengi na kutoa matumaini mapya ya kuiokoa iramba.

Ktk ngome ya mwigulu KINAMPANDA, Jesca alipokea wanachama zaidi ya 90, kati ya hao, 30 ni waliokuwa makada wa cc-emu.

Mafisadi hawana chao Oktoba.
 
Mafisadi wapi sasa?, Wale wa halmashauri ya Karatu au wale mapapa wenyewe
 
Kwani zile fedha za ruzuku alizojikopesha Dk Slaa amezirudisha?
 
Baada ya hujuma nyingi za CCM kuzuia mikutano ya CHADEMA kwa kuhofia kuibuliwa sakata la ufisadi wa pesa za maabara!!

Kesho tar 16, Jesca Kishoa ataitikisa Iramba ktk mkutano mkubwa utakaofanyika Kiomboi.

Kamanda huyu ameonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kushawishi, uwezo mkubwa wa kujenga hoja na amekuwa akivunja ngome za mwigulu kiulaiiini, mfn, ktk mikutano yake ya Ndago na Shelui wilayani iramba, amekonga mioyo ya wananchi wengi na kutoa matumaini mapya ya kuiokoa iramba.

Ktk ngome ya mwigulu KINAMPANDA, Jesca alipokea wanachama zaidi ya 90, kati ya hao, 30 ni waliokuwa makada wa cc-emu.

Mafisadi hawana chao Oktoba.

Mkuu unatuhakikishia na kuturuhusu kuwapungia mkono wa bye bye?
 
pesa za ruzuku dr.slaa amemjengea nyumba mchumba ake josefin mushumbusi

Vipi kuhusu mabilioni yaliyobebwa kwenye viroba toka stanbiki? Mbona wahusika hadi sasa hawajapelekwa mahakamani? Au hadi baada ya uchaguzi?
 
pesa za ruzuku dr.slaa amemjengea nyumba mchumba ake josefin mushumbusi

mkuu samahani kama umelala ukiamka naomba unijibu,kuna jambo nadhani sijalifahamu bado hivi ni kweli mzee wangu/babu yangu ni mchumba wa celina mshumbusi?kama jibu ndio celina akiwa na slaa nae anamuita baby?ndoa yao itakua lini labda,kama ukithibitisha haya yote ntaamini maneno yangu kua vijana wa kiume wanatafuta vijana wenzao wa kike waoane kumbe kuna mababu wanavuruga utaratibu.
 
mkuu samahani kama umelala ukiamka naomba unijibu,kuna jambo nadhani sijalifahamu bado hivi ni kweli mzee wangu/babu yangu ni mchumba wa celina mshumbusi?kama jibu ndio celina akiwa na slaa nae anamuita baby?ndoa yao itakua lini labda,kama ukithibitisha haya yote ntaamini maneno yangu kua vijana wa kiume wanatafuta vijana wenzao wa kike waoane kumbe kuna mababu wanavuruga utaratibu.

Unaulizia mambo ya ndoa za watu humu,... Mimi nilidhani ungejadili kuhusu utekelezwaji wa ilani zake... Elimu bure, Afya bure.. Makzi bora, kuandika katiba upya... Ambavyo mwanzo CCM walisema hazitekelezeki........
Halafu leo nao wanaigiza kutkeleza na kufeli. Hapa si uswazi useme upige umbea na wanawake wa uswhilini.. Hapa ni akili kubwa tu, mambo binafsi ambayo hayaingiliani na national interests yaache.
 
jamani huko iramba kazaneni angalau tuendelee kupunguza wabunge wa ndio bungeni kwenye bunge lijalo.
 
Back
Top Bottom