Mrs. Kafulila kuitikisa Iramba

Mrs. Kafulila kuitikisa Iramba

mkuu samahani kama umelala ukiamka naomba unijibu,kuna jambo nadhani sijalifahamu bado hivi ni kweli mzee wangu/babu yangu ni mchumba wa celina mshumbusi?kama jibu ndio celina akiwa na slaa nae anamuita baby?ndoa yao itakua lini labda,kama ukithibitisha haya yote ntaamini maneno yangu kua vijana wa kiume wanatafuta vijana wenzao wa kike waoane kumbe kuna mababu wanavuruga utaratibu.

Kwan na ww unataka kuolewa?sasa wivu wa nn kwa Josephine?mbona wanaume tupo wengi humu kama vipi ni PM tu Nikuweke sawa
 
Unaulizia mambo ya ndoa za watu humu,... Mimi nilidhani ungejadili kuhusu utekelezwaji wa ilani zake... Elimu bure, Afya bure.. Makzi bora, kuandika katiba upya... Ambavyo mwanzo CCM walisema hazitekelezeki........
Halafu leo nao wanaigiza kutkeleza na kufeli. Hapa si uswazi useme upige umbea na wanawake wa uswhilini.. Hapa ni akili kubwa tu, mambo binafsi ambayo hayaingiliani na national interests yaache.

Wamechanganyikiwa hawajui hata nini wanachoandika. Kwa ufupi wanaweweseka tu!
 
masikini kafulila mbona huku kwenye jimbo lake tumemsahau hata mkutano anashindwa kuitisha anakimbilia majimbo ya wengine kwa nini huo ufusadi asje kutueleza sisi toka jimboni kwake?
nakumbuka aliwai itisha mkutano pale nguruka akazomea kabisa nilisikia aibu nikaenda kukaa kwenye gari nikimsubiri mkutano aishe tuondoke
 
masikini kafulila mbona huku kwenye jimbo lake tumemsahau hata mkutano anashindwa kuitisha anakimbilia majimbo ya wengine kwa nini huo ufusadi asje kutueleza sisi toka jimboni kwake?
nakumbuka aliwai itisha mkutano pale nguruka akazomea kabisa nilisikia aibu nikaenda kukaa kwenye gari nikimsubiri mkutano aishe tuondoke

Soma uzi vizuri,anaezungumziwa ni mke wa kafulila na sio kafulila mwenyewe,tatizo lenu ccm sasa hivi mnaweweseka.
 
Back
Top Bottom