Najaribu kutazama CCM mrithi wake atakavyokuwa, kwani Maskendo ni mengi, Habari za Ufisadi ni nyingi, Sheria zimepindishwa kidogo, Hospitali bado madawa hakuna...Yaani wananchi wameshakata tamaa.
SWALI: Huyo mrithi Atawabadilisha vipi Wananchi mpaka Wamuelewe na CCM?
SWALI: Huyo mrithi Atawabadilisha vipi Wananchi mpaka Wamuelewe na CCM?