Nafkiri sasa nyota imeng'aa Tanzania, tunakula ugali sasaa na hatulii ng'aa! Mrisho wa Ngasa ndo huyoo anaelekea kupaa! msisikitike Watanzania wenzangu mbona wao waliwezaa! je Kabumbu wapigayo Wanaija si ndiyo hiyo yetu au wao wanapaa! sema ntashindaa, sema atashinda! wote pamoja tutashindaa! tuwe na imani,juhudi na umoja na tuache mawazo ya kikindaa! Je mnajua NBA DRAFT huko Tanzania hatushikiki, ni HASHEEM THABEET au 'HESHIMA THABITI' Hakunaa!