EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Punguza wivu, huyo yupo kazini kupitia sanaa yake.Huyu mtu yupo kwenye matukio mengi ya kitaifa na kampeni mbalimbali kama sensa anazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kuhesabiwa, leo meimosi yupo Dodoma na ana special kwaya.
Kampeni nyingi anashirikishwa.
Mi sina wivu nae bali kwa ujinga wangu naomba kuelemishwa huyu jamaa ana ubia gani na Serikali?
Nasubiri maoni
Ulter nonsense.Chawa wa eagle wing aliingizwa na jakaya baada ya kumuita mjomba alipewa mafunzo ya uchawa kwenye shule ya watoto watukutu; ni aina moja ya wanaigo waliojificha kwenye tasnia ya sanaa kama mwana fa.
Mleta mada jibu lako hili hapa!Ana connection
Ulter [emoji3582].... Utter [emoji736]Ulter nonsense.
UsalamaHuyu mtu yupo kwenye matukio mengi ya kitaifa na kampeni mbalimbali kama sensa anazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kuhesabiwa, leo meimosi yupo Dodoma na ana special kwaya.
Kampeni nyingi anashirikishwa.
Mi sina wivu nae bali kwa ujinga wangu naomba kuelemishwa huyu jamaa ana ubia gani na Serikali?
Nasubiri maoni
Ni mla Hela Mkuu wa Pesa za Hamasa ( Promo ) na zisizo na Kazi za Serikalini na hata CCM pia.Huyu mtu yupo kwenye matukio mengi ya kitaifa na kampeni mbalimbali kama sensa anazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kuhesabiwa, leo meimosi yupo Dodoma na ana special kwaya.
Kampeni nyingi anashirikishwa.
Mi sina wivu nae bali kwa ujinga wangu naomba kuelemishwa huyu jamaa ana ubia gani na Serikali?
Nasubiri maoni
amesema hana wivu....wewe unasema ana wivu.....kuna majitu hayaelewagi kabisa..yani yenyewe ni mapambano tuuuuPunguza wivu, huyo yupo kazini kupitia sanaa yake.
Connection yake awamu ya sita nyota ipo kwake, tupunguze wivu wa kijinga hawana pensheni hao, wakipewa nafasi wacha wameki money.
Mbona huulizi Mzee Mavunde na Shabani Kisu kila siku mc ni wao tu?
NiHuyu mtu yupo kwenye matukio mengi ya kitaifa na kampeni mbalimbali kama sensa anazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kuhesabiwa, leo meimosi yupo Dodoma na ana special kwaya.
Kampeni nyingi anashirikishwa.
Mi sina wivu nae bali kwa ujinga wangu naomba kuelemishwa huyu jamaa ana ubia gani na Serikali?
Nasubiri maoni
chawa furani ivi anaetumika kama toiret peparHuyu mtu yupo kwenye matukio mengi ya kitaifa na kampeni mbalimbali kama sensa anazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kuhesabiwa, leo meimosi yupo Dodoma na ana special kwaya.
Kampeni nyingi anashirikishwa.
Mi sina wivu nae bali kwa ujinga wangu naomba kuelemishwa huyu jamaa ana ubia gani na Serikali?
Nasubiri maoni