Mrisho Gambo RC ambaye ni smart na focused!

Mrisho Gambo RC ambaye ni smart na focused!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
download.jpg
Namuangalia hapa anavyoshusha taarifa ya mkoa wa Arusha.
Hana siasa anashusha nondo zinazogusa hadi wataalamu.

Ameweza kuunganisha wafanyabiashara.

Anafahamu chanzo cha matatizo mfano sababu ya msongamano katika hospitali ya mkoa na sababu ya vijana kuandamanishwa kila kukicha.

Hatumii nguvu kutatua matatizo.
 
Muwe mnaweka picha sikila MTU anamjua
 
Hakika umenena,dogo hana papara,hapayuki ovyo,siyo kama yule wa dar
 
Ameikuta R-Chugga ikiwa imepaa kimaendeleo ina barabara, maji, shule, hospitali n.k

Ila tatizo lake ni CCM maana ukiwa huko ndani basi wewe ni maskini kimwili, kiroho, kimkakati.

angalia sehemu palipochukuliwa na CHADEMA TANGU mwaka 2000 huwezi kuifananisha na chatto au kule kwa mkwere na mjomba wake makonde
 
We ulitegemea ampe UKWELI mfalme? ajira haitaki au
 
Gambo and mongella are far better than makonda,
Academically
Intellectually
Capacitally
Ideologically
Humblelically
And so many
 
Back
Top Bottom