Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !

Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !

Kupitia hii Arusha Derby tutafahamu mengi ya sirini na uovu mwingi uliovalishwa nguo utabaki uchi wa mnyama
 
Gambo ni chuma cha mjerumani ndiyo maana BASHITE amebaki kupiga roporopo majukwaani kumchafua ,najua GAmbo akitemeshwa basi jimbo linaenda UPINZANI.
Aah wap unajua anachokifanya kondaboy hapa Mzee,? amewateka Madiwani,mabalozi ,polisi na system nzima ya Arusha. Ninachoona ni kuwa kondaboy anataka aukwae ubunge then waziri.
 
Aah wap unajua anachokifanya kondaboy hapa Mzee,? amewateka Madiwani,mabalozi ,polisi na system nzima ya Arusha. Ninachoona ni kuwa kondaboy anataka aukwae ubunge then waziri.

Wajumbe ndiyo mpango mzima ,hao mapolisi na watu wanaofanana na wao si wajumbe...hata kigamboni alifanya uhuni huo huo lakini mwisho wa siku alipigwa chini.
 
Aah wap unajua anachokifanya kondaboy hapa Mzee,? amewateka Madiwani,mabalozi ,polisi na system nzima ya Arusha. Ninachoona ni kuwa kondaboy anataka aukwae ubunge then waziri.
Mchezo Kama huo aliufanya Kigamboni na hakutoboa .
 
Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !

That is ur karmic debt. - huu ndo muda unavuna kile ulichokipanda ukiwa RC na ukiwa DC , matatizo huwa hayakosei njia .

Mtalalauana Sana na VITA yenu haitoisha salama lazima mtajane na kuvuana nguo.

Jambo lolote baya au zuri alifanyalo MTU lazima litamrudia .

Na mbaya VITA yenu inagusa ugali wenu lazima mfikishane pabaya.

Ushauri kasome kitabu cha Robert Green 48 Law of power.
Ooh
 
Back
Top Bottom