DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !
That is ur karmic debt. - huu ndo muda unavuna kile ulichokipanda ukiwa RC na ukiwa DC , matatizo huwa hayakosei njia .
Mtalalauana Sana na VITA yenu haitoisha salama lazima mtajane na kuvuana nguo.
Jambo lolote baya au zuri alifanyalo MTU lazima litamrudia .
Na mbaya VITA yenu inagusa ugali wenu lazima mfikishane pabaya.
Ushauri kasome kitabu cha Robert Green 48 Law of power.
That is ur karmic debt. - huu ndo muda unavuna kile ulichokipanda ukiwa RC na ukiwa DC , matatizo huwa hayakosei njia .
Mtalalauana Sana na VITA yenu haitoisha salama lazima mtajane na kuvuana nguo.
Jambo lolote baya au zuri alifanyalo MTU lazima litamrudia .
Na mbaya VITA yenu inagusa ugali wenu lazima mfikishane pabaya.
Ushauri kasome kitabu cha Robert Green 48 Law of power.