Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 2,308
- 4,687
Nawakumbusha CCM kwamba kazi kubwa wanayoipigania makada , kwenda bungeni na kuikimbia mikoa walimokuwa wameteuliwa kuongoza ,kwa ngazi mbalimbali kama u dc na u rc ni kwenda kupiga meza bungeni ,na kujihakikishia miaka mitano ya kuwa active na kula posho !!
Hakuna miujiza atakayoileta Paul makonda pale Arusha ambayo gambo haiwezi ama hajaifanya !! Ccm ni ileile ,Kuna kichekesho kingine pale Arusha vita ni kubwa na nikana kwamba gambo ni mbunge wa upinzani na makonda ametumwa kulirudisha Jimbo la Arusha mjini kwenda CCM' ,kwanini picha Iko hivi, ni kwa sababu ya fitina za Paul makonda ambaye mara zote Kila anapoenda lazima atafute mtu wa kumbagaza ili mambo yake yaende !!
Nitawashangaa Wana ccm kama watakubali kuingia kwenye mfumo wa makonda na kumtupa mrisho gambo Ambae Arusha ni mzawa. na kumkumbatia mpita njia kwa sababu ya zile nyama choma au ile festival ya landlover na ama labda mashindano ya pikipiki .Arusha ni ile ile kilichobadilika ni mbwembwe tu na sio maendeleo !! Tunasubiri kuona akili za Wana ccm zilipo .
kama ccm inamtaka makonda aende bungeni na kama ccm wanaamini Kuna jambo jipya litatokea kwa makonda kwenda bungeni basi ateuliwe kama mbunge wa kuteuliwa lakini asipewe Jimbo kwa kuumiza aliowakuta !!
Hakuna miujiza atakayoileta Paul makonda pale Arusha ambayo gambo haiwezi ama hajaifanya !! Ccm ni ileile ,Kuna kichekesho kingine pale Arusha vita ni kubwa na nikana kwamba gambo ni mbunge wa upinzani na makonda ametumwa kulirudisha Jimbo la Arusha mjini kwenda CCM' ,kwanini picha Iko hivi, ni kwa sababu ya fitina za Paul makonda ambaye mara zote Kila anapoenda lazima atafute mtu wa kumbagaza ili mambo yake yaende !!
Nitawashangaa Wana ccm kama watakubali kuingia kwenye mfumo wa makonda na kumtupa mrisho gambo Ambae Arusha ni mzawa. na kumkumbatia mpita njia kwa sababu ya zile nyama choma au ile festival ya landlover na ama labda mashindano ya pikipiki .Arusha ni ile ile kilichobadilika ni mbwembwe tu na sio maendeleo !! Tunasubiri kuona akili za Wana ccm zilipo .
kama ccm inamtaka makonda aende bungeni na kama ccm wanaamini Kuna jambo jipya litatokea kwa makonda kwenda bungeni basi ateuliwe kama mbunge wa kuteuliwa lakini asipewe Jimbo kwa kuumiza aliowakuta !!