Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
nasikia serekali ya kenya mrungi si madawa ya kulevya ila serekali ya Tanzania ndio madawa ya kulevya sasa sijui maabara za uchunguzi zinatofautiana ufanisi au nini sijaelewa hapo
Duh anatwanga mbuzi katoliki mtoto katulia haswa.
Hapo sasa,pia wakulima wa mirungi Haidaru wangepata soko nje ya nchi.Hiyo ni nyama ya mbuzi sio nguruwe tatizo humu wamejaa wakulima na wavuvi.nasikia serekali ya kenya mrungi si madawa ya kulevya ila serekali ya Tanzania ndio madawa ya kulevya sasa sijui maabara za uchunguzi zinatofautiana ufanisi au nini sijaelewa hapo
Hiyo itaisha, kwanza ni kidogo!atamaliza kweli.
AD wanawake wanaokula mirungi wazuri in bed hawachoki wala kuhisi usingizi lol. Inabidi nimtafute tule wote weekend.kwa raha zake haimuathiri mtu mwingine ....
AD wanawake wanaokula mirungi wazuri in bed hawachoki wala kuhisi usingizi lol. Inabidi nimtafute tule wote weekend.
Hiyo alioshika zena ni ya kenya inaitwa kangeta,kipimo alichoshika ni elfu 5 au robo sasa mimi na yeye ya elfu 20 inatutosha.imepanda Bei
budget imefika kigomo...
Hiyo alioshika zena ni ya kenya inaitwa kangeta,kipimo alichoshika ni elfu 5 au robo sasa mimi na yeye ya elfu 20 inatutosha.
Anaitwa Zena Mohamed a.k.a Shilole film actress huwezi amini ana watoto wawili.Anaitwa nani huyo?
Duh.. Inaelekea kiwango cha menu ni full suti... Mpaka kesho tena