Mrembo Huyu Kwanini Anakula Mirungi

nasikia serekali ya kenya mrungi si madawa ya kulevya ila serekali ya Tanzania ndio madawa ya kulevya sasa sijui maabara za uchunguzi zinatofautiana ufanisi au nini sijaelewa hapo
 
Duh anatwanga mbuzi katoliki mtoto katulia haswa.

IMG_6035.jpg


atamaliza kweli.
 
nasikia serekali ya kenya mrungi si madawa ya kulevya ila serekali ya Tanzania ndio madawa ya kulevya sasa sijui maabara za uchunguzi zinatofautiana ufanisi au nini sijaelewa hapo
Hapo sasa,pia wakulima wa mirungi Haidaru wangepata soko nje ya nchi.Hiyo ni nyama ya mbuzi sio nguruwe tatizo humu wamejaa wakulima na wavuvi.
 
Hapo ana chewing gum na soda baadaye. Ukiwaona utawaonea huruma,maana ni kama mbuzi anakula nyasi. Tena hiyo kitu ina bei sana, kuna mpiga debe stendi ya mkoa ambaye siku haiwezi kupita bila kula 'nyasi' angalau za buku saba.
 
Duh.. Inaelekea kiwango cha menu ni full suti... Mpaka kesho tena
 
dah!!wachaa mtoto ale mirungii banaa....kilaa mtu na starehee yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom