Mrema: Wanasiasa waliokutana Zanzibar ni Wanaharakati

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
 
Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
Huyu mzee akalee wajukuu. Ogopa kakimbiwa hata na majirani kule Kiraracha. Utadhani ni mchawi..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msee wa Kiraracha bado yupo?? Ni siku nyingi sana hatumsikii. Ama kweli, njaa mbaya na haswa inapompata ajuaye kusakanya tonge (Mchaga)
 
EBWANA EEE, HII NGOMA ILIANZA KITAMBO TOKEA ZANZIBAR WALIPOKUA WAKIFANYIWA VITIMBI, KUNA WATU WAKASEMA WAZANZIBARI NI WABAGUZI WANATAKA KUJITENGA, WENGINE WAKASEMA ANATAKA KULETA WAARABU, YAANI KILA AINA YA PROPAGANDA, SASA SASAIVI JOKA LA MDIMU LINATEMA SUMU KILA MAHALA, ila yataisha
 
Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
We mzee kaoge ukalale
 
Mzee wa UNAAA katika ubora wake yupo radhi kukandia vyama pinzani vinavyopigania uwepo wa demokrasi nchini ili alinde tumbo lake.

TZ tuna safari ndefu sana
 
Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
Mzee lyatonga acha kuwaita wenzako hivyo mbona wewe waliposema umekufa ulichachamaa na kutishia kwenda Mahakamani?
 
Kikaragosi cha Kichaa hiki, sijui kwanini hawakumfukuza. Sasa wameshamfahamu wasimruhusu tena kutia mguu kikaragosi kingine ni yule Cheyo.

Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
 
Asamehewe tu huyu mzee kwishne hata TLP amebaki yeye peke yake mfukoni kwake,njaa imehamia kuchwani
 
Hahaha Mrema bana eti hajui matumizi ya pesa kwenye chama, na ni mwenyekiti wa chama taifa, alafu anaomba ruzuku.
 
Dodoma. Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustine Mrema ameviponda vyama vya siasa vilivyokutana Zanzibar kwa madai ya kujadili muswada wa sheria namba 5 wa vyama vya siasa na kudai mkutano huo ni wa kiuanaharakati zaidi kuliko siasa.

Mrema ametoa kauli hiyo leo Ijumaa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na muswada wa sheria ya vyama vya siasa unaoungwa mkono na vyama visivyo na uwakilishi bungeni.

Amedai vyama hivyo vilivyokutana Zanzibar vinapokea fedha nyingi kutoka nje ya nchi na ndiyo maana vinapinga muswada huo ambao utavibana vyama vya siasa nchini kuhusiana na fedha pamoja na matumizi yake wanazopokea kutoka nje ya nchi.

"Kwa hiyo moja ya jambo ambalo naliona ni lazima lifanyiwe kazi na linalopigiwa kelele sana ni hizi hela zinazoingia katika nchi kwenye vyama, hujui amechanga nani na anamchangia nani afanye nazo nini."

"Ila ukihoji utaambiwa ni demokrasia, sasa ukiruhusu kila mtu aingize hela zisizojulikana zisizofanyiwa mahesabu, hazikaguliwi ukisema zikaguliwe au zidhibitiwe wale wajanja hawataki," amesema

Mrema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amesema wanasiasa wenye uzoefu na nchi kama yeye hawawezi kukubali fedha chafu zisizo na mahesabu ziingie katika nchi kwa kisingizio cha demokrasia na hivyo watasikia kelele nyingi sana kwamba Serikali ni ya kidikteta kutokana na sheria zinazoitwa kandamizi.

Aidha ameiomba Serikali kutoa ruzuku kwa vyama visivyo na uwakilishi ili visije vikaingia tamaa na kupokea fedha kutoka nje ya nchi zenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Chanzo: Mwananchi
Hicho kizee kikojoe kikalale hakuna Mtanzania mwenye Akili Timamu anaweza kukaa akamsikiliza Mrema ambaye sasa ni zuzu juha kabsa.
 
Back
Top Bottom