very interesting comments do far from JF family. nina swali moja tu kwa Mmakonde..
1. Tanzania tunaelekea uchaguzi mkuu, hebu tuambie tuwachagu viongozi wapi ambao ni warembo i.e wana sura nzuri..
swali la nyongeza...
halafu hawana hela.... maana umesema mrema ana sura imechoka na PESA ANAYO